Ni sahihi, Jana tulikuw Hospital ya Rufaa hapa wametuambia hadi afikishe mwaka Mmoja ndio anaweza kufanyiwa surgery..
Ina hivi vinyama vinaingilia sana upumuajinwa mtoto hasa nyakati za usiku na anapokuwa ananyonya
Badilisha diet yake kama unaweza , ondoa mafuta ya kupikia na sukari. Kama unaweza fanya kumpa supu ya nyama na nyama ya kusaga,mayai ya kuchemsha(kienyeji) tu hata kwa siku 30.
Mafuta ya kupaka atumie Vaseline tu,sabuni tumia ya mche kumuogeshea. Ndani ya wiki 1 tu utaleta mrejesho changa hapa.
Hiyo diet ni dawa nzuri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.