Asante sana Mungu akubarikiDuuhh mzee baba, nikawaida sana kwa watoto walio chin ya miezi mitatu kukosa choo. Hii haimanishi wana Constipation.
Unajua nn,..wao wanategemea maziwa ya mama kama chakula.
Sasa maziwa ya Mama ile ni lishe tuu .
Yaan, wanaponyonya. Hayo maziwa yanafyonzwa yote na mwili na kutumika yote.
Ivo kwa mtoto ,anakua hana cha kutoa nje kama kinyesi.
Na Huwa wanakosa choo kwa siku 4--5 ,wiki 2--3.
Ushauri...kama unataka kuona kinyesi, mlishe mkeo wako misosi misosi ya Uzazi , ili katoto kanyonye weee mpaka yapatikane mabaki ,yatakayotolewa km kinyesi.
Hata wewe, ukila Andazi moja, kuna uwezekano wa kukoswa haja..haimanishi unatatizo. Bali kaandaz kote kametumika mwilin.
Nb.... Chunguza dalili nyengine kama zipo... So far, niseme hana tatizo ....mama anyonyeshe tu.
Basi mama ale machungwa na mapapai yatamsaidia mtoto kupata choo.Ananyonya vizuri
Mkuu, usihangaike ni kawaida..na usimlishe chakula chochote kama Unampenda huyo mtoto...Yaani wa kwangu anakata siku hadi sita nimeenda hospitali nimepewa dawa ila hazijafaaa nikahamia miti shamba hali ndio ile ile. Juzi nimekutana na MTU mzima kumueleza akaniambia nisihangaike ni kawaida kwa mtoto wa umri huo otherwise nimlishe vyakula vyengine
N.B Mwanangu ana umri wa miezi 2 na siku tisa
Nimekuelewa vizuri mkuuuMkuu, usihangaike ni kawaida..na usimlishe chakula chochote kama Unampenda huyo mtoto...
Mama anyonyeshe sawasawa , shida wanawake wenu, wanakula chips, kunywa maji mpaka Ajisikie, mboga za majan hamna, ndizi hamna, samaki hamna, uji wa lishe hamna.matunda hamna..chips nayeye. Yeye nachips...atapata wapi maziwa ya mtoto????
Yaani wa kwangu anakata siku hadi sita nimeenda hospitali nimepewa dawa ila hazijafaaa nikahamia miti shamba hali ndio ile ile. Juzi nimekutana na MTU mzima kumueleza akaniambia nisihangaike ni kawaida kwa mtoto wa umri huo otherwise nimlishe vyakula vyengine
N.B Mwanangu ana umri wa miezi 2 na siku tisa
Pamoja mkuuu tujitahidi kuwalea vizuri mkuuMkuu watoto wetu wana umri sawa na kesi zinafanana nahisi