Habari ndugu wana Jamii Health,
Mimi nina mtoto mwenye umri wa miezi 2 na wiki 2, tatizo la mtoto wangu ni kwamba hatoi haja kubwa, yaani ananyonya tu ila hakuna haja kubwa ila mkojo anakojoa kama kawaida.
∆ Sasa naomba wenye uelewa na hili labda tatizo ni nini?
∆ Nitumie mbinu/dawa gani mtoto awe katika hali ya kawaida?