Fuata ushauri wa daktari na utumie dawa ya kuongeza damu ipasavyo!Matunda na mbogamboga kama zabibu(au juisi ya zabibu) ni mazuri kwa kuongeza damu na madini ya iron,cornproducts,nyama nyekundu pamoja na maini inasemekana pia yanaongeza damu,mayai n.k
Ni kweli alivyosema daktari maziwa yanazuia uptake of iron..kwahio ni vyema ukiepuka kumpa wakati wa milo au ukimpatia dawa!