Faeces are sometimes so liquid they are mistaken for urine. NB: it is normal for breastfed babies to have liquid stools. Some cow's milk causes harmless green stools. Diarrhoea may be an early sign of any septic illness.
Wadau nimekua nikisikia kwamba eti mtoto akianza kuota meno huwa anaharisha.
Mwanangu mi alipoota vijino vinne vya mbele sikuona hiyo hali ila sasa ameanza kuongeze mengine naona choo chake kimeongezeka kuwa laini na sometimes ni kuharisha kabisa kila akijisaidia...tumempekela hospital wamempima choo hakina shida..malaria hana ila daktari akasema inaweza kuwa meno kuota...kwa kuwa alienda mama ake aliponipa suggestions hizo za daktari mi sijamuelewa kabisa.
Sa wadau kwa wenye ufahamu au experience na hali hii naombeni msaada wa mawazo.
Ni kweli kuota meno kunaweza changia mtoto kuwa na choo chepesi /kuharisha
Is it scientifically applicable au ni imani za mtaani tu
Basi kwa maelezo hayo ya vipimo basi huenda ikawa ni loose stool tu kwani pia kama ni kuharisha lazima utaangalia ni mara ngapi kwa siku, kwa siku ngapi? Nature ya stool, Kama kuna blood in stool, au kama ana dalili za upungufu wa maji mwilini km yupo irritable, macho kuzama ndani kidogo,ukivuta ngozi kidogo hasa ya tumbo kuchelewa kurudi, nk . Na km alitumia antibiotics hv karibuni huenda ikasababisha . Ila nataka kuamini hayo yote daktari alizingatia kumuuliza mama ndio maana kawahakikishia hakuna shida. Ila kpndi hiki mtoto aongezewe fluid intake kila aharishapo. Ahsante