Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo wewe kazi yako ni kutembea na pipi mfukoni. Huyo mtoto wa wapi Moshi?
kutembea na pipi sio kazi wewe...Ila pia , ikiwa kazi inakuuma?Kweli ndio maana msiponyonga na kumeza mnakufa..kwenu kazi ni dhambi?Naona unaonyesha hofu yenu kwa Moshi mji wa wagumu..mkilala mkiamka mnawawaza wachaga...wenyewe hata hawana muda wa kuwawaza...ila wapo kila mahalia hadi sebuleni kweli wanakula maisha na kuzichanga kwa kasi ambayo hamjawahi hata iota.
Mwambie mzee wako na magamba wengine wachaga wamewaachia moshi km famba..kazi mlifanya 50yrs ya kupigana na vazi la mchaga wakati yeye anavuna shamba lenu kuna mtu kakustua JF kuwa mmebugi.
Hamtakaa muwashike wachaga ktk chumba kimoja,wala fani moja,wala ktk elimu,wala ktk kazi zisizohitaji shule...na siku mnatangaza kuhesabu wadau wa kila maeneo utakuta idadi yao ikiwa nzuri kila sehemu ya ardhi ya nchi hii.