We vipi, mdoli wa bei nafuu anauzwa bei ya bajet ya siku tano. Usiseme hivyo. Maisha magumu huyu mzazi yupo sokoni anaongea na wateja, akimuacha loose atapotea. Hapo ukiangalia hana mtu wa kumuachia nyumbani. Kabeba kachoka, hebu nikafunge hapa kwa muda nitakachukua baadae. Hata ukiangalia hiyo kamba aliyomfunga nayo si ya mateso kama wengi tulivyomuhukumu.