Analishe kabisa,asubuhi uji.ulezi.saa 4 chai,mchana anaandaliwa chakula chake,muda wa lunch general anapewa,saa kumi anapata kilichopikwa saa tano then jioni anapata cha general,amepata vijipele vinakuwa vidonda na anakikohozi kwa sasa,kikohozi kina kama week,tulijaribu kumpa dawa but stil is ther