Mtoto anarikaruka tumboni

Huyu kiwango chake akacheze ulayaa, baba ke nae kacheza rithaa huko sasa mwanae atacheza priffesional football

baba yake ni nani vile, nimemsahau kidoogo, hebu nikumbushe. Halafu hiyo itakuwa ni mimba yako ya kwanza umesema ukweli.
 
weka kitu, acha kujivunga. Unajifanya tourist, mateka atatekwa!
Bado najipanga nitamshibisha muda si mrefu, na atakuja humu JF kuomba ushauri, halafu sasa mimi mwenyewe nitampa ushauri.
 
nakutamani
huwa raha mtoto akicheza.

Afadhali, nilikuwa nawaonea huruma mnapokuwa wajawazito kumbe huwa mnapenda na mna-enjoy. Safi sana I m happy to know this.
 

Mtoto kapelekwa hospitali na mdingi wake, docta akawa anamuandikia dawa, baba yake
akatoka nje kuongea na simu. Mtoto akamuinamia daktari akamwambia kwa sauti ya chini
chini, 'Dokta kwenye dozi andika Fanta Baridi,chips na kuku kila siku kwa siku 30,kutwa
mara tatu'
 
Bora huyo wa chipsi na soda. Mie natamani pilipili tuuu na ndizi
 
Usihofu
Ni ujio wa baraka na bahati
 
kawaida dada,furahi mimba yako!!pia jtahidi mazoezi ila hiyo dozi ya 3km ni kubwa sana,muanze polepole
 
kawaida dada,furahi mimba yako!!pia jtahidi mazoezi ila hiyo dozi ya 3km ni kubwa sana,muanze polepole

Asante sana. Kumbe nilizidisha na nilipogundua miguu inaniuma saana niksamua kuomba ushauri ksenu wataalam wa mambo haya
 
Hongera sana, hizo ni dalili kuwa mtoto wako yu salama.
 
Hongera mwaya, ni dalili njema mtoto kucheza tumboni, inaonesha kwamba yuko active, na ni hali ya kawaida kabisa, so usihofu
 
Ulikaa tu ndani nae akaamua kutulia tuliii, umetembea nae kaamka kwa kasi. Hivyo jitahidi kufanya matembezi walau kila jioni ili kuongeza uchangamfu wa kiumbe kijacho. Pia itakusaidia hata wakati wa kujifungua.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…