Asante sana kwa Taarifa.
Ila kama ni Muislam basi huyo mtoto mumsomee kisomo cha rukhiya na kama ni Mkristo basi mpeleke kwenye maombi maalum kabla ya kuchanganyika na wenzake.
Kimtizamo tu ni kwamba kuna kitu kinaweza kuwa kilifanyika,maana mtoto ni mkubwa na uwezo wa kujieleza lazima awenao,ila kuna hali inaweza kuwa inamfanya awe hivyo.
Kupatikana akiwa mzima wa mwili ni suala la kumshkuru mungu,ila suala la uzima wa akili na utata lazima kumpe mungu amsafishe mtoto huyo kwa maombi maalum,ili kama kuna mambo ya kishetani au kichawi yaweze kumtoka na kumkwepa.Dunia imebadilika saana siku hizi
Bwana Mungu Asifiwe