LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
Mazingira yapo mengiNiliwahi kuwa na wasi wasi na hivi vituo na jinsi vinavyopata watoto.
Hapa isiishe tuu kupatikana kwa mtoto. Tuelezwe mazingira ya mtoto kupotea, na mazingira yaliyomfikisha mtoto kituoni hapo.
Isijekuwa kama Peniela wa LEGE.
Mfano mtoto alikuwa anacheza na wenzie nje kigodoro kikapita mtoto akakifuata labda toka manzese hadi ilala na hajui njia ya kurudi hajui kuongea hajui afanye nn, wasamalia Wema watamchukua na kumpeleka polisi
Tatizo tulilonalo ni hivi vituo vya polisi kukaa na watoto bila ya kuwatangaza na badala yake wanasubiri mzazi aje amtafute! Sasa huwez mtafuta mtoto katika vituo vyoote kwa Siku moja matokeo yake mtoto anajikuta amepelekwa kituo cha yatima na kulelewa hapo na polisi wakijisahau kama waliokota mtoto Siku za karibuni
Tena tabia nyingine inayokera ni ile yakuwataka wasamalia Wema wakalale na hao watoto wawalete kesho yake
Kuna siku na mama yangu tulikua tukitoka manzese kwenda k/Koo kisha temeke home, tulipofika kigogo kuna Dada alipanda alikua na mtoto wa kiume almost miaka mi 3-4 hivi kwa kua gari ilikua imejaa mama alimsaidia yule Dada kumpakata mtoto mambo ya kusinzia tena kwenye daladala kumbe yule Dada alishuka njiani mama hajui daladala kufika k/Koo watu woote wanashuka yule Dada hatumuoni na mtoto tunae ikatubidi tumng'ang'anie dereva atupeleke kituo cha msimbazi tukamuache yule mtoto Dereva kwa mbiinde akakubali cha ajabu baada ya kuandika maelezo eti wakatuambia twende nae nyumbani mpaka kesho tumlete tena ili kama wazazi wake hawajapatikana wampeleke kituo cha watoto yatima! Tuligoma maana hatuwez jua matatizo ya mtoto akipatwa jambo baya itakuaje tulizungushana hapo mapka mwisho wa Sikh wakabaki nae