Wewe acha uongo bwana, hako katoto si kweli kwamba kanafanya mazoezi bali kanajaribu kutambaa kufuata kitoi chake cha gari (angalia kushoto mbele kwenye picha). Hata hivyo nakuunga mkono kwamba mazoezi ni muhimu kwa watu wazima.
Wewe acha uongo bwana, hako katoto si kweli kwamba kanafanya mazoezi bali kanajaribu kutambaa kufuata kitoi chake cha gari (angalia kushoto mbele kwenye picha). Hata hivyo nakuunga mkono kwamba mazoezi ni muhimu kwa watu wazima.