Mtoto afufuka aomba maji halafu afa tena!

Mi nilifikiri tunajadili the science behind the incidence. Kumbe ni jinsi vitabu vya dini na viongozi wa dini walivyosheheni majibu? Good to know this one.

Wakati mwingine tunautumia vibaya uhuru wa kutoa maoni...au kama Madereva ni wale wa daladala.
 
Kama aliyeshuhudia mtoto kuomba maji ni baba yake tu, basi sina shaka kwamba ni tatizo la kisaikolojia- ni kawaida kumuona mpendwa wako aliyekufa mawazoni au hata physically! Hata hivyo roho (sprit) ya mtu ina nguvu kubwa hivyo sayansi na dini tu haviwezi kutoa ufafanuzi kamili.
 
Hakuna lolote, mgonjwa alipata apnic attack tu hakuna lolote, nimeshagundua madr wengi huwa wanacertify mgonjwa kafa bila kufanya examination vizuri afu mwisho wa siku baada ya dk kadhaa anaendelea kupumua hakuna kitu kama hicho.

Mkuu we ni Dr.? Unaongea as if you know more kuliko hawa wasomi..
 
Back
Top Bottom