Yusuphsabury
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 307
- 114
Wana jamvi naomba kujuzwa,hivi inawezekana kufanya mtihani wa kidato cha sita bila kuwa na credit(c) tatu za o'level?kwani nimeona orodha ya majina TCU ya watu waliokosa udahili wa chuo kikuu kwa kukosa credit3 za form4 lakini wana principle mbili za form six,hii imekaaje bandugu!