Mtihani mwema kidato cha nne!!

Mtihani mwema kidato cha nne!!

Mungu awasaidiye watahiniwa wote katika mitihani yao ili waweze kufaulu. Lakini wakumbuke kutokata tamaa hata kama matokeo hayatakuwa mazuri, kwani kufeli kwa masomo si kufeli kwa maisha.
 
Natanguliza shukran kwenu,..tayar mtihani WA kidato cha nne 2017/18 umeshaanza mapema asubuh ya Leo

Nawaomba ndugu zangu wote katika jukwaa hili la wanna jamii tufunge maombi kwa kuwaombea ndugu zetu ,vijana wenzetu wadogo zetu ,watoto wetu waweze kufanya vzur, Na hata kutimiza Moja ya ndoto zao za Marsha ktk mtihani huu ulioanza asubuh ya leo
 
Mungu baba akawasimamie, lakini kama hawakujiandaa maombi yetu sawa na bure, kazi na dawa, kusoma na maombi
 
Kama kuna ambao hawajasoma na wanafikiri kuna miujiza kutoka kwa mungu basi Tunawasubiri sana huku kitaani kwetu.
 
Tuwatakie mitihani mema vijana wanaomaliza kumaliza kidato cha nne 2017. Ni miaka 15 sasa na mimi nikiwa katika chumba cha mitihani wa kumaliza kidato cha nne 2002.

Kila la kheri wadogo zetu na watoto wetu mliaoanza mitihani ya kumaliza kidato cha nne 2017.
 
Tuwatakie mitihani mema vijana wanaomaliza kumaliza kidato cha nne 2017. Ni miaka 15 sasa na mimi nikiwa katika chumba cha mitihani wa kumaliza kidato cha nne 2002.

Kila la kheri wadogo zetu na watoto wetu mliaoanza mitihani ya kumaliza kidato cha nne 2017.
Wapo wanao rist nao ni wadogo zako,sema kila rahela wanao Fanya mitihani ya kidato cha NNE
 
Nawatakia kila la kheri na matokeo vhanya kwa wataiwa wote wa kidato cha nne
 
Back
Top Bottom