Mtihani mgumu kwa Magufuli ni Sukari, Vyakula na kupanda kwa Dola

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,778
7,145
Wana JF,

Tunaamini wote kuwa Rais wetu yupo kwenye vita kali ya kuhakikisha anairejesha Tanzania mikononi mwa wazalendo , baada ya kuendesha vita kali ya mafisadi na wahujumu uchumi, juhudi anazozifanya si haba zimeleta mafanikio, ingawa katika semi zake za kila ziku za kutumikia watanzania bado kuna mitiani mingi lakini yote kwa yote , bei ya sukali iko juu mno , bei ya vyakula ndio usiseme, ile hali ya kula mlo mmoja sasa imezoeleka, si kwamba watanzania wamejiandaa kufunga mkanda bali kufa kwa vifo vya utapia mlo kwa kukosa chakula bora.

Kwa sasa wakazi wa Dar es Salaam kwa wingi wao hawali chakula sahihi, hebu angalia kwenye vituo vya mabasi na magulio madogo madogo/soko watu wanaishi kwa kula vibua na samaki waliokaa miezi kadhaa kwenye mafridge, hasa samaki aiana ya sangara na sato, ni vyakula visivyofaa kwa kuliwa na binadamu, lakini wale wajanja uchukua samaki hawa na kuwakaanga wakiunga na manukato fulani kuondoa harufu mbaya.

Mfano mzuri wa mboga za ovyo ni pale ubungo darajani, tegeta kwa ndevu, tegeta kibaoni ni sehemu ya kuuza vyakula hatarishi hasa mboga.

Tuje kwenye dola, ilikuwa imeshuka mpaka 2170 sasa ni 2200, hapa unaona jinsi uchumi ulivyo teteleka.

Wanaokwamisha kushuka kwa bei ya vyakula ni wale walioodhi njia kuu za biashara, ambao unaweza kusema ni matajiri wenye roho mbaya ambao husababisha kuharibika kwa miundo mbinu ili wao wapate mwanya wa kusomba vyakula kwa njia ya barabara ili vionekane vinapatikana kwa shida.

Magufuri boresha reli, waamulishe waachie magodown yetu ili treni za mizigo ziweze kuleta chachu ya maendeleo.
 
Mkuu jiandae kutukana kwa kumkosoa mungu mtu
hapo tutafungwa wengi ikiwa tutapeleka malalamiko yetu yakawa matusi. Kuna wale wakina BARHESA wakishusha na wengine watashusha, njia zoteza vyakula kashika yeye , hivyo yeye ni kama anapanga bei elekezi, akishusha wanashusha, akipandisha wanapandisha
 
Na bado,wengine wanatumbuliwa jukwaani wanazomewa,wanaozomea nao wanatumbuliwa masokoni na kwenye maisha
 
Hii ni short term metastable equilibrium; miezi michache ijayo bei za bidhaa, huduma, mitaji na nguvu-kazi zote zitashuka na hali kuwa nzuri. Watanzania wavumilie kidogo tu.

Transactions' chain zilizokuwepo zilijengwa na kuimarishwa juu ya misingi mibovu ya wizi wa mali ya umma na rushwa. Kwa mfano, ofisa wa serikali anaiba na kujigawia mapesa ya serikali bila kufuata utaratibu, akifika mitaani wanatoa sadaka makanisani ua kwenye vialabu vya pombe au kuwapa mitaji boda boda/taxi bubu/mama nitilie au kwa nyumba ndogo au maeneo yote kwa pamoja. Waliopokea sadaka hizo nao walikuwa wakitapanya kwa namna walivyoweza kununua huduma, bidhaa hata kutoa zawadi kwa ndugu jamaa n wapendwa wao.

Ukitathmini mlolongo huu utaona kuwa sehemu kubwa ya milolongo ya kupeana pesa haikuambatana na uzalishaji halisi (production of real value). Katika mazingira mapya ya kiuchumi ambayo Serikali inajitahidi kujenga kwa sasa, ushiriki wa wananchi kwenye milolongo ya miamala yoyote utahitaji anayehusika kushiriki kuzalisha kwanza (value creation) - nguvu kazi halisi, bidhaa halisi, mtaji halisi au huduma halisi. Mlolongo huu utabadilisha kabisa tabia za watu kiuchumi. Hivyo tegemea hali kuwa bora, ila wananchi wavumilie kidogo. Kuvumilia kidogo ndio gharama ya wananchi kujenga nchi yao.
 
Inaumiza sana pale tunapo oneshwa sukari kwenye magodown halafu mtaani inazidi kupanda bei na watumishi wa serikali wanaona lakini hawachukui hatua yoyote, sasa huu ndio mgomo kwa Magufuli au hata Magufuli anajua hii shida, ila haitatuliki? Inaudhi sana kufanya kazi kwenye video mtaani hali tofauti,
 
Hii ni short term metastable equilibrium; miezi michache ijayo bei za bidhaa, huduma, mitaji na nguvu-kazi zote zitashuka na hali kuwa nzuri. Watanzania wavumilie kidogo tu.

Transactions' chain zilizokuwepo zilijengwa na kuimarishwa juu ya misingi mibovu ya wizi wa mali ya umma na rushwa. Kwa mfano, ofisa wa serikali anaiba na kujigawia mapesa ya serikali bila kufuata utaratibu, akifika mitaani wanatoa sadaka makanisani ua kwenye vialabu vya pombe au kuwapa mitaji boda boda/taxi bubu/mama nitilie au kwa nyumba ndogo au maeneo yote kwa pamoja. Waliopokea sadaka hizo nao walikuwa wakitapanya kwa namna walivyoweza kununua huduma, bidhaa hata kutoa zawadi kwa ndugu jamaa n wapendwa wao.

Ukitathmini mlolongo huu utaona kuwa sehemu kubwa ya milolongo ya kupeana pesa haikuambatana na uzalishaji halisi (production of real value). Katika mazingira mapya ya kiuchumi ambayo Serikali inajitahidi kujenga kwa sasa, ushiriki wa wananchi kwenye milolongo ya miamala yoyote utahitaji anayehusika kushiriki kuzalisha kwanza (value creation) - nguvu kazi halisi, bidhaa halisi, mtaji halisi au huduma halisi. Mlolongo huu utabadilisha kabisa tabia za watu kiuchumi. Hivyo tegemea hali kuwa bora, ila wananchi wavumilie kidogo. Kuvumilia kidogo ndio gharama ya wananchi kujenga nchi yao.

Nakuunga mkono mkuu! Umenikumbusha kipindi cha mzee Ruksa, kulikuwa na mafuriko ya fedha kwenye mzunguko mpaka watu wakasahau habari ya kuuliza "chenchi" dukani/nauli/bar nk. Alipoingia Mkapa akabana kidogo tu, pesa ikawa ngumu sana kupatikana kwenye mzunguko, na "chenchi" ya 50 ingeweza kumtoa mtu roho! Sasa Magufuli kabana kuliko Mkapa, hivyo kwa hapa mwanzoni maumivu yatakuwa makali sana kwa wengi huko mtaani, ila hali hii ni ya mpito na ya muhimu kuwajengea watu nidhamu ya matumizi! Baada ya muda hali ita stabilize, na maisha yatasonga mbele kwa uzuri zaidi!
 
Hii ni short term metastable equilibrium; miezi michache ijayo bei za bidhaa, huduma, mitaji na nguvu-kazi zote zitashuka na hali kuwa nzuri. Watanzania wavumilie kidogo tu.

Transactions' chain zilizokuwepo zilijengwa na kuimarishwa juu ya misingi mibovu ya wizi wa mali ya umma na rushwa. Kwa mfano, ofisa wa serikali anaiba na kujigawia mapesa ya serikali bila kufuata utaratibu, akifika mitaani wanatoa sadaka makanisani ua kwenye vialabu vya pombe au kuwapa mitaji boda boda/taxi bubu/mama nitilie au kwa nyumba ndogo au maeneo yote kwa pamoja. Waliopokea sadaka hizo nao walikuwa wakitapanya kwa namna walivyoweza kununua huduma, bidhaa hata kutoa zawadi kwa ndugu jamaa n wapendwa wao.

Ukitathmini mlolongo huu utaona kuwa sehemu kubwa ya milolongo ya kupeana pesa haikuambatana na uzalishaji halisi (production of real value). Katika mazingira mapya ya kiuchumi ambayo Serikali inajitahidi kujenga kwa sasa, ushiriki wa wananchi kwenye milolongo ya miamala yoyote utahitaji anayehusika kushiriki kuzalisha kwanza (value creation) - nguvu kazi halisi, bidhaa halisi, mtaji halisi au huduma halisi. Mlolongo huu utabadilisha kabisa tabia za watu kiuchumi. Hivyo tegemea hali kuwa bora, ila wananchi wavumilie kidogo. Kuvumilia kidogo ndio gharama ya wananchi kujenga nchi yao.
Well said mkuu,wewe ni among of great thinkers,kudos
 
Hii ni short term metastable equilibrium; miezi michache ijayo bei za bidhaa, huduma, mitaji na nguvu-kazi zote zitashuka na hali kuwa nzuri. Watanzania wavumilie kidogo tu.

Transactions' chain zilizokuwepo zilijengwa na kuimarishwa juu ya misingi mibovu ya wizi wa mali ya umma na rushwa. Kwa mfano, ofisa wa serikali anaiba na kujigawia mapesa ya serikali bila kufuata utaratibu, akifika mitaani wanatoa sadaka makanisani ua kwenye vialabu vya pombe au kuwapa mitaji boda boda/taxi bubu/mama nitilie au kwa nyumba ndogo au maeneo yote kwa pamoja. Waliopokea sadaka hizo nao walikuwa wakitapanya kwa namna walivyoweza kununua huduma, bidhaa hata kutoa zawadi kwa ndugu jamaa n wapendwa wao.

Ukitathmini mlolongo huu utaona kuwa sehemu kubwa ya milolongo ya kupeana pesa haikuambatana na uzalishaji halisi (production of real value). Katika mazingira mapya ya kiuchumi ambayo Serikali inajitahidi kujenga kwa sasa, ushiriki wa wananchi kwenye milolongo ya miamala yoyote utahitaji anayehusika kushiriki kuzalisha kwanza (value creation) - nguvu kazi halisi, bidhaa halisi, mtaji halisi au huduma halisi. Mlolongo huu utabadilisha kabisa tabia za watu kiuchumi. Hivyo tegemea hali kuwa bora, ila wananchi wavumilie kidogo. Kuvumilia kidogo ndio gharama ya wananchi kujenga nchi yao.

Haiwezi kuwa rahisi hivi. Tanzania si kisiwa. Umeangazia mambo machache tu yanayoathiri uchumi, mambo mengine kama kupanda/kushuka kwa bidhaa muhumu kama oil katika soko la dunia, na jinsi inavyoathiri chumi za nchi nyingi duniani. Pia vipi kuhusu hali ya hewa, vipi ikitokea ukame uzalishaji ukashuka? Kujenga uchumu wa nchi inahitaji akili kubwa. Bidhaa za viwandani ni inelastic hazishuki thamani hovyo, lakini sisi hatuna viwanda/hatuna mitaji, pia kujenga msingi kwaajili ya maendeleo ya viwanda inahitaji ushiriki wa wawekezaji ambao ni capitalist, macho yote kwenye profit tu.

Hakika Raisi Magufuli anakazi kubwa, na kusema baada ya muda kidogo mambo yatakuwa rahisi ni vile umejaribu kuwa optimistic tu.
 
Hii ni short term metastable equilibrium; miezi michache ijayo bei za bidhaa, huduma, mitaji na nguvu-kazi zote zitashuka na hali kuwa nzuri. Watanzania wavumilie kidogo tu.

Transactions' chain zilizokuwepo zilijengwa na kuimarishwa juu ya misingi mibovu ya wizi wa mali ya umma na rushwa. Kwa mfano, ofisa wa serikali anaiba na kujigawia mapesa ya serikali bila kufuata utaratibu, akifika mitaani wanatoa sadaka makanisani ua kwenye vialabu vya pombe au kuwapa mitaji boda boda/taxi bubu/mama nitilie au kwa nyumba ndogo au maeneo yote kwa pamoja. Waliopokea sadaka hizo nao walikuwa wakitapanya kwa namna walivyoweza kununua huduma, bidhaa hata kutoa zawadi kwa ndugu jamaa n wapendwa wao.

Ukitathmini mlolongo huu utaona kuwa sehemu kubwa ya milolongo ya kupeana pesa haikuambatana na uzalishaji halisi (production of real value). Katika mazingira mapya ya kiuchumi ambayo Serikali inajitahidi kujenga kwa sasa, ushiriki wa wananchi kwenye milolongo ya miamala yoyote utahitaji anayehusika kushiriki kuzalisha kwanza (value creation) - nguvu kazi halisi, bidhaa halisi, mtaji halisi au huduma halisi. Mlolongo huu utabadilisha kabisa tabia za watu kiuchumi. Hivyo tegemea hali kuwa bora, ila wananchi wavumilie kidogo. Kuvumilia kidogo ndio gharama ya wananchi kujenga nchi yao.


Maneno yako yanatia moyo lakini bado ninamashaka sana na jinsi ambavyo serikali hii inavyoendeshwa kwa mizuka na sijaona mikakati thabiti ambayo imewekwa ya kunishawishi niamini unachonieleza
 
Hii ni short term metastable equilibrium; miezi michache ijayo bei za bidhaa, huduma, mitaji na nguvu-kazi zote zitashuka na hali kuwa nzuri. Watanzania wavumilie kidogo tu.

Transactions' chain zilizokuwepo zilijengwa na kuimarishwa juu ya misingi mibovu ya wizi wa mali ya umma na rushwa. Kwa mfano, ofisa wa serikali anaiba na kujigawia mapesa ya serikali bila kufuata utaratibu, akifika mitaani wanatoa sadaka makanisani ua kwenye vialabu vya pombe au kuwapa mitaji boda boda/taxi bubu/mama nitilie au kwa nyumba ndogo au maeneo yote kwa pamoja. Waliopokea sadaka hizo nao walikuwa wakitapanya kwa namna walivyoweza kununua huduma, bidhaa hata kutoa zawadi kwa ndugu jamaa n wapendwa wao.

Ukitathmini mlolongo huu utaona kuwa sehemu kubwa ya milolongo ya kupeana pesa haikuambatana na uzalishaji halisi (production of real value). Katika mazingira mapya ya kiuchumi ambayo Serikali inajitahidi kujenga kwa sasa, ushiriki wa wananchi kwenye milolongo ya miamala yoyote utahitaji anayehusika kushiriki kuzalisha kwanza (value creation) - nguvu kazi halisi, bidhaa halisi, mtaji halisi au huduma halisi. Mlolongo huu utabadilisha kabisa tabia za watu kiuchumi. Hivyo tegemea hali kuwa bora, ila wananchi wavumilie kidogo. Kuvumilia kidogo ndio gharama ya wananchi kujenga nchi yao.
Utopian economy at best, fantasy explanation at worst.
 
Utopian economy at best, fantasy explanation at worst.
Well, better had put forward such innovative contemporary economic thought to explain current phenomena.

But again, mathematically analysing your first and final notes of your comment, it is a resultant vector zero. Critisizing is incompatible with reckless thinking!
 
Back
Top Bottom