Salaam. Mdau mjuvi na mpenzi wa mafanikio ya binadam mwenzie anisaidie kupata mteja wa vanilla wa uhakika hasa wa nje kuanzia kg 100. Na haizid kg 150.
Wale wadau wanaotangazia watu kununua Vanilla sijui kilo kwa 1m na kukusaidia kulima sijui kukupa shamba umewa-contact ? Huenda hapo ndio tutajua kama wadau wanauziwa mbuzi kwenye gunia
Wale wadau wanaotangazia watu kununua Vanilla sijui kilo kwa 1m na kukusaidia kulima sijui kukupa shamba umewa-contact ? Huenda hapo ndio tutajua kama wadau wanauziwa mbuzi kwenye gunia
Sometimes magiants wa dunia wanaoshughulika na uzalishaji wa mbegu wakiona bidhaa fulani haziendi wanaanzisha propaganda za kupiga promo ili watu waingie mkenge na kununua bidhaa zilizo kwenye stock zao kisha wanapita hv.
Wale wadau wanaotangazia watu kununua Vanilla sijui kilo kwa 1m na kukusaidia kulima sijui kukupa shamba umewa-contact ? Huenda hapo ndio tutajua kama wadau wanauziwa mbuzi kwenye gunia
Wale watu wako interested na watu kuwapa mitaji yao na si kununua bidhaa. Mengine ngoja nisiingilie dili za watu. Ni suala la muda tu. Hiyo bei ni ya kufikirika.
Wale watu wako interested na watu kuwapa mitaji yao na si kununua bidhaa. Mengine ngoja nisiingilie dili za watu. Ni suala la muda tu. Hiyo bei ni ya kufikirika.
Salaam. Mdau mjuvi na mpenzi wa mafanikio ya binadam mwenzie anisaidie kupata mteja wa vanilla wa uhakika hasa wa nje kuanzia kg 100. Na haizid kg 150.