Vitu vya anasa, magari,pesa, mali, posho lukuki, ccm ikikukosa kwenye hivi itakuhesabu kwamba wewe ni mwanasiasa hatari sana kwa maana mitego hii imewakumba wengi kama dr.karbolou ambaye alikuwa roho ya chadema.
Wengi walishindwa na wakajikuta ndani ya ccm kwa sababu ya vitu kama hivi hongera sana mhe:mbowe na wabunge wa chadema kwa kulishinda hilo.
Wengi walishindwa na wakajikuta ndani ya ccm kwa sababu ya vitu kama hivi hongera sana mhe:mbowe na wabunge wa chadema kwa kulishinda hilo.