Mtego alioukwepa mhe: Mbowe

Mtego alioukwepa mhe: Mbowe

politiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2010
Posts
2,376
Reaction score
1,517
Vitu vya anasa, magari,pesa, mali, posho lukuki, ccm ikikukosa kwenye hivi itakuhesabu kwamba wewe ni mwanasiasa hatari sana kwa maana mitego hii imewakumba wengi kama dr.karbolou ambaye alikuwa roho ya chadema.
Wengi walishindwa na wakajikuta ndani ya ccm kwa sababu ya vitu kama hivi hongera sana mhe:mbowe na wabunge wa chadema kwa kulishinda hilo.























 
Usikumbushe Dr.Kabouru ntalia...usimtaje kabsa!2limpigania sana miaka iyo pale Kigoma...Mwanga-katubuka,Ujij na kote!2kaimalisha Ngome pale Urusi...2lipgwa sana na FFU kwa kumtetea..kwa kutumia ukaribu wa Kgma na maziwa makuu wengne tukafunguliwa kes za uhamiaj haramu!2limbeba Kabouru toka Steshen mpaka Ujiji jujuu ka mkomboz wetu!alichotufanyia!!!Juz nlimuona Bungen katembelea bunge ka Mbunge wa Africa Masharik
 
Usinikumbushe Dr.Kabouru ntalia...usimtaje kabsa!2limpigania sana miaka iyo pale Kigoma...Mwanga-katubuka,Ujij na kote!2kaimalisha Ngome pale Urusi...2lipgwa sana na FFU kwa kumtetea..kwa kutumia ukaribu wa Kgma na maziwa makuu wengne tukafunguliwa kes za uhamiaj haramu!2limbeba Kabouru toka Steshen mpaka Ujiji jujuu ka mkomboz wetu!alichotufanyia!!!Juz nlimuona Bungen katembelea bunge ka Mbunge wa Africa Masharik
 
Wazalendo wa kweli ni wachache! tunaomba wana chadema wasimame imara kwa hilo!Naamin wapo baadhi ya wana ccm wanaopinga Posho,naomba nao walisimamie hili, kwanza litawaletea heshima na uaminifu kwa wananchi wao! musifuate mkumbo simamien hari harisi!
 
Talking about Kaburu, katibu wa zamani wa cdm, unanikumbusha siasa za Makamba. Alikuwa anahonga wapinzani halafu anatangaza wamerudi ccm. Aliwapata wengi lakini wote wamepotea. Kaburu, Ngawaiya, Tambwe, na wengine kibao.
 
Mungu mkubwa atawaepusha viongozi wote wa CHADEMA na mitego ya maharamia CCM ktk kuiba kodi za wananchi maskini Tanzania,ukombozi umefika mkoloni mweusi hana tena nafasi katika jamii inayotaka UHURU wake.
 
Usikumbushe Dr.Kabouru ntalia...usimtaje kabsa!2limpigania sana miaka iyo pale Kigoma...Mwanga-katubuka,Ujij na kote!2kaimalisha Ngome pale Urusi...2lipgwa sana na FFU kwa kumtetea..kwa kutumia ukaribu wa Kgma na maziwa makuu wengne tukafunguliwa kes za uhamiaj haramu!2limbeba Kabouru toka Steshen mpaka Ujiji jujuu ka mkomboz wetu!alichotufanyia!!!Juz nlimuona Bungen katembelea bunge ka Mbunge wa Africa Masharik
na tulishamuambia Kg asikanyage tena. Yule jamaa nilimuona mapema kipind cha kampen zake akawatukana madereva tax eti hata msiponipa kura chungu changu hakitaingia maharage wala sitapikia kuni na wala sitakosa dreva wa kuniendesha!. Kuja kutahamaki kakosa ubunge na ghafla kahamia Magamba.
 
ukishawakataa CCM baada ya kukuonga vyeo na fedha zao hapo unakuwa umepiga hatua kubwa ambayo imewashinda wanasiasa wengi
mkishashinda kwenye hili basi mtaelekea golini kama mnalia vile kwa maana hakuna kitachowazuia tena.
 
Mimi nadhani kuwa ccm wabadilike kwani kinachofanywa na wapinzani ni sahihi na sio kung'ang'ania madai eti tulinde amani!. TANZANIA HAKUNA AMANI HATA KIDOGO KWANI SERIKALI Inaficha uovu mwingi sana.
 
Hivi huyo Dr. Kabouru aka Kimburu ni Doctor wa ukweli au kama wale wa magamba akina Nagu na Mahanga? Dr. gani wa ukweli alikuwa hana msimamo mpaka akakubali kuhongwa na kuwasaliti watu wake?

Hata hivyo huko aliko anajutia uamuzi wake kwani alijimaliza kabisa kisiasa na amepotea kiasi kwamba hata ukitumia lenzi humpati kwenye Ramani ya siasa za Kigoma!
 
wabunge wengine ni vema waunge mkono kitendo cha mh. mbowe kerejesha shangingi, magari yote ya anasa yapigwe mnada!
 
Back
Top Bottom