Mtazamo

Mtazamo

chaka bovu

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
16
Reaction score
0
sioni sababu ya chadema na ccm kulumbana kila siku. Malumbano yatakwenda mwisho wa siku kila mtu unyamaza.wanasiasa watanzania tatizo maneno mengi vitendo vichache. ila itafika kipindi watanzania wataelewa kinachoendele katika siasa yetu ambayo ya maneno mengi vitendo vichache. AMKA NA UITETEE NCHI YAKO KWA WATANZANIA WOTE SIJO CCM AU CHADEMA.
 
sioni sababu ya chadema na ccm kulumbana kila siku. Malumbano yatakwenda mwisho wa siku kila mtu unyamaza.wanasiasa watanzania tatizo maneno mengi vitendo vichache. ila itafika kipindi watanzania wataelewa kinachoendele katika siasa yetu ambayo ya maneno mengi vitendo vichache. AMKA NA UITETEE NCHI YAKO KWA WATANZANIA WOTE SIJO CCM AU CHADEMA.

Hivi tanzania kuna wanasiasa au wanafiki?
 
Sasa utatetea vp nchi yako bila chama makini cha siasa?Malumbano ni kawaida katika siasa,cha muhimu wapi usimame na kupitia viongozi gani na chama kipi ili uweze tetea nchi yako.Chadema ndo chama na njia ya kufika nchi ya ahadi.
 
Back
Top Bottom