chaka bovu
Member
- Aug 7, 2012
- 16
- 0
sioni sababu ya chadema na ccm kulumbana kila siku. Malumbano yatakwenda mwisho wa siku kila mtu unyamaza.wanasiasa watanzania tatizo maneno mengi vitendo vichache. ila itafika kipindi watanzania wataelewa kinachoendele katika siasa yetu ambayo ya maneno mengi vitendo vichache. AMKA NA UITETEE NCHI YAKO KWA WATANZANIA WOTE SIJO CCM AU CHADEMA.