Mtatiro amenguka rasmi kisiasa?

Mtatiro amenguka rasmi kisiasa?

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,455
Kabla ya kuvuliwa uongozi ndani ya CUF. mtatiro alikuwa ni mwnasiasa anaevuma sana. Kila siku kupitia FB yake alikuwa akijadili mambo mengi ya kisiasa.
Hafla baada ya kuvuliwa madarak akahamia mijadala ya Mpira na kuacha siasa. Sijui kama CUF wanaweza kumpa Jimbo.
 
Kabla ya kuvuliwa uongozi ndani ya CUF. mtatiro alikuwa ni mwnasiasa anaevuma sana. Kila siku kupitia FB yake alikuwa akijadili mambo mengi ya kisiasa.
Hafla baada ya kuvuliwa madarak akahamia mijadala ya Mpira na kuacha siasa. Sijui kama CUF wanaweza kumpa Jimbo.

Mtatiro amevuliwa madaraka lini?
 
Wana Jf kwa kurupuka, sasa aim ya Thread yako ni nini? hukueleweka kabisa.
 
Back
Top Bottom