Mtarimbo wangu umelala DORO

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Sep 22, 2009
1,282
247
Tangu mwezi uliopita ninahisi kitu kisicho cha kawaida mwilini mwangu.
Asubuhi mashine haishtuki, nikitaka kupiga mechi na mama watoto wakati mwingine njema inagoma kupanda mtungi na wakati mwingine naibembeleza hazi zaidi ya saa nzima ndio iingie mzigoni.
Nlikuwa nakunywa pombe kali sasa nimeacha, nilikuwa napenda kuangalia sinema za ngono na zenyewe sasa siangalii tena. Lakini bado tatizo liko palepale.
Nilikuwa na pambano la nje, nimelipiga chini maana nahisi huenda linaniroga ili nisiwakewake kwa mai waifu wangu.
 
teyari umeshaisha wewe, kwishnee!! Karibu lango la jiji
 
Mchezo umeisha mzee!! Umekaribishwa lango la jiji na mdau hapo juu, ili wakakupige jeki!!

Wasiwasi wangu ni kifuatacho....kwa my waifu wako!!

Nenda hospitali wanaweza kukusaidia!!
 
teyari umeshaisha wewe, kwishnee!! Karibu lango la jiji
Nayaweza yote katika yeye anitiaye Nguvu, Mungu wangu ni muaminifu wala hawezi kunifanya niabike milele.
Halafu nyie mishoga mnajiendeleza tu kwa kupenda vitu vya bure.
Ntapona tu hili ni tatizo la muda, wala kamwe sitoweza kuruhusu mwanaume mwenzangu aniparamie mgongoni.
Bwabwa, ushindwe kabisa wewe na kampeni zako za kuwavuta watu kwenye use,nge.
Halafu nimekushtukia kuwa unaitumia Jamii forums kutafuta popularity huku ukijidai ni mtetezi wa haki za mashoga na kisha baadae uanze kula vijisenti vya mabwabwa wenzako toka ughaibuni..
mpango wako mzima hapa kwishnehi kabisa.
 
My dia pole sana but mm ni mwanamke maybe sijui sana kuhusu hilo tatizo,but maybe unamawazo mengi,au unafanya kazi ngum na nyingi,au chakula pia,mda wa kupumzika mdogo,jaribu kucheki hayo kwanza,Mungu ni mwema Huto aibika,pole sana
 
Jipe muda wa mazoezi,
Kunywa chai ya jioni,
Tembelea maeneo ambayo ni mageni kabisa kwako,
Punguza kuvuta sigara (iwapo unavuta)
Mtembelee mwana saikolojia, hasa mama Hoogan yupo pale Muhimbili atakusaidia sana kwa tatizo hilo
 
......ungeiweka hii kule ka JF doctor, ingepata much attention kuliko hapa ilipo sasa!
 
Pole sana Mkuu, utakuwa na kitu kinakutatiza au una msongo wa mawazo, itaisha tu hiyo hali
 
Punguza mawazo,kula chakula na sio hizi chipsi yaiz,jaribu kupata mchanganyiko wa asali na kitunguu swaumu japo mara mbili kwa siku<hizo nguvu kama zipo zipo tuu hazipokonyeki!!!
 
Nilikuwa na pambano la nje, nimelipiga chini maana nahisi huenda linaniroga ili nisiwakewake kwa mai waifu wangu.


My dia pole sana but mm ni mwanamke maybe sijui sana kuhusu hilo tatizo,but maybe unamawazo mengi,au unafanya kazi ngum na nyingi,au chakula pia,mda wa kupumzika mdogo,jaribu kucheki hayo kwanza,Mungu ni mwema Huto aibika,pole sana

Saaaaaaaaaafi sana Mama Tery!

Mungu ndiye ameipiga chini machine baada ya kuona umetumikisha sana kwahiyo unaweza kumuomba akurudishie ali-charge hiyo cellular.

Anywayz umejaribu kumuona Dr Manyuki? Maana kama ulivyobandika yawezekana huyo mchezaji wa "reserve" aka "small house" ameenda "mlingotini"!
 
Badilisha KABISA menu ya msosi nyumbani kwako na kazini pia, weka mawazo kwa Mkeo hasa wakati wa shughuli yenyewe, muone kama mpya na kama ile siku ya HONEY MOON siku zote. Jogoo atawika tu.. Achana na hiyo small house.
 
.
Nilikuwa na pambano la nje, nimelipiga chini maana nahisi huenda linaniroga ili nisiwakewake kwa mai waifu wangu.

Hapa unaimani za kishirikina

Nayaweza yote katika yeye anitiaye Nguvu, Mungu wangu ni muaminifu wala hawezi kunifanya niabike milele.

Hapa una imani za Mungu tena unatumia kitabu kitakatifu.

Mimi sikuelewi hapo wewe ni vuguvugu bora kuwa moto au baridi. Na hata tatizo linalokusibu bado hujagundua nini hasa(kulogwa au ni tatizo la kibaiolojia au kisaikolojia.
 
mimi nilikuwa na tatizo kama hilo miaka minane hivi iliyopita. nilipata ushauri na dk. mmoja wa muhimbili kuhusu diet na food suplements,

baada ya hapo, nakuambia mziki wake, usipime? hadi leo napiga mabao kama sina akili nzuri vile!!!!!!!!!

kama una uhakika ukiamsha huo mtarimbo hutaendelea kufanya uzinzi, ni-PM nitakupa solution ya uhakika.

vipi mama hajakushtukia tu bro?????????? tehe tehe..............
 



Kama kawaida jamaa anaendelea tu kuleta story za kutunga hapa. Ukisoma hizo thread tatu alizoanzisha huyu ndugu hapa unaona ni za kutunga tu maana hazileti mtiriko wenye ukweli.
 
mdau punguza mechi za nje mamaa unamdhulumu
siunawajua wauza joto wako ful mizizi
ukiwatosa tu
wanakuharibia
taratibu litaisha
chunguza utabain
ushanbayn
 
Kama kawaida jamaa anaendelea tu kuleta story za kutunga hapa. Ukisoma hizo thread tatu alizoanzisha huyu ndugu hapa unaona ni za kutunga tu maana hazileti mtiriko wenye ukweli.

Hapo umemkamata vizuri mno, ile wanasema 'caught with panties down!'
 

bado una nafasi. kama huna ugonjwa, wacha kabisa hizo pombe, pumzika vya kutosha, kula dayat. hopeful mambo yatarudi kama awali. nimeamini kuwa bwabwa ni sho.ga. mpuuzie. MODS pia wanamlea. I DONT KNOW WHY?!!!
 
Kama kawaida jamaa anaendelea tu kuleta story za kutunga hapa. Ukisoma hizo thread tatu alizoanzisha huyu ndugu hapa unaona ni za kutunga tu maana hazileti mtiriko wenye ukweli.

Hapa umesema
Sasa ndo maana thread za mahusiano zinaonekana haziko serious kabisa.
Kuna mwingine anaitwa Pape naye wale wale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…