Mtanzania: Serikali yanuka damu

Mtanzania: Serikali yanuka damu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,160
Reaction score
162,583
Gazeti la leo la Mtanzania(Mtanzania Jumatano) limebeba habari kubwa chini ya kichwa cha habari "Serikali yanuka damu".Habari hiyo katika gazeti hilo limeelezea mlolongo wa matukio ya kigaidi wanaofanyiwa raia kama kutobolewa baadhi ya viungo vya mwili,mauaji katika mikusanyiko ya kisiasa na matukio ya watu kumwagiwa tindikali huku likilaumu serikali kwa kushindwa kuwakamata na kuwachukulia hatua wahusika wa vitendo hivyo.

Mbali na kuelezea matukio hayo,gazeti hilo pia limechapisha picha za waathirika wa vitendo hivyo vya kigaidi.Picha hizo katika ukurasa wa mbele ni zile za akina Dr.Ulimboka,Absalom Kibanda na picha kadha za watu waliomwagiwa tindikali.

Katika habari hiyo, gazeti linadai kuchapisha maelezo ya watu mbalimbali ambao wametafsiri vitendo hivyo kuwa ni sawa na kusema serikali nanuka damu kwani vyombo vya dola ndio vinavyolaumiwa kutenda unyama huo na kuishangaa serikali kwa kutokuchukua hatua dhidi ya wahusika.

MY TAKE:
GAZETI LIKO SAHIHI KABISA KUCHAPISHA HABARI HIYO NA KUCHAMBUA MATUKIO HAYO.LAKINI SITASHSNGAA KUSIKIA GAZETI HILO LIKIPATA VITISHO KUTOKA SERIKALINI NA PENGINE HATA KUTUHUMIWA KWA UCHOCHEZI.

HII NDIO KAZI NZURI YA VYOMBO VYA HABARI.

BIG UP MTANZANIA JUMATANO KWANI UJUMBE UMEFIKA!
 
Angalau waendelee kutukumbusha Wadanganyika maana tunaishi kwa matukio. Ila hawa wahanga wa unyama huu nao wamekaa kimya tokea wamepona. Sasa tumehamia kwa balozi wa china na jukwaa la ccm. Tunasubiri movie mpya
 
Dr.Slaa aliona mwenendo wa Serikali ya CCM mapema sana na kutabiri Ugumu wa kutawalika kwake.Sumaye naye alitoa angalizo kubwa sana kwa Watanzania.Tusipogutuka Serikali ya CCM itatumaliza.
 
Angalau waendelee kutukumbusha Wadanganyika maana tunaishi kwa matukio. Ila hawa wahanga wa unyama huu nao wamekaa kimya tokea wamepona. Sasa tumehamia kwa balozi wa china na jukwaa la ccm. Tunasubiri movie mpya

Hili ndio jukumu la vyombo vya habari.Hatutarajii tukio likipita hata liwe la uovu wa kiwango gani basi ndio liwe limepita jumla.

Najua kuna watu watasema labda kwasababu Kibanda alikuwa mhariri wa gazeti hilo ndio maana leo wamekumbusha udhalimu huu.Lakini embu tujiulize CHANNEL 10 wamewahi kukumbusha nini kuhusu mwandishi wao marehemu Daudi Mwangosi?

"Better late than never"
 
mtanzania damu damu na tanzania daima. full udaku na uchochezi
 
matumizi mabaya ya kalam ya uandishi na rasilimali, vyombo vya habari badala ya kuandika habari za kuelimisha, kuchochea maendeleo vinaandika chuki na hasama. jinga sana
 
Hili ndio jukumu la vyombo vya habari.Hatutarajii tukio likipita hata liwe la uovu wa kiwango gani basi ndio liwe limepita jumla.

Najua kuna watu watasema labda kwasababu Kibanda alikuwa mhariri wa gazeti hilo ndio maana leo wamekumbusha udhalimu huu.Lakini embu tujiulize CHANNEL 10 wamewahi kukumbusha nini kuhusu mwandishi wao marehemu Daudi Mwangosi?

"Better late than never"
dawa sio kukumbusha bali ni kuweka wazi aliyehusika, ukichochea vurugu na chuki kama wanavyofanya mtz, ipo siku yatakukuta kama ya akina ruto na yule mwandishi
 
nachukia udhalimu, nachukia uchochezi nachukia chuki na hasama. kweli kabisa. mtz sio gazeti la kusoma
 
chadema wamejitahidi kufanya uasi mwingi ikiwa ni pamoja na kuuwa watu ili taifa liyumbe lakini wamegonga mwamba jk amethubutu ameweza na sasa anasonga mbele.
 
Hili ndio jukumu la vyombo vya habari.Hatutarajii tukio likipita hata liwe la uovu wa kiwango gani basi ndio liwe limepita jumla.

Najua kuna watu watasema labda kwasababu Kibanda alikuwa mhariri wa gazeti hilo ndio maana leo wamekumbusha udhalimu huu.Lakini embu tujiulize CHANNEL 10 wamewahi kukumbusha nini kuhusu mwandishi wao marehemu Daudi Mwangosi?

"Better late than never"

kifo cha chacha wangwe na kuvamiwa kwa mama yake zito mbona hawakumbushi au hawa hawakuwa wanachadema kama hawa wengine.
 
Gazeti la leo la Mtanzania(Mtanzania Jumatano) limebeba habari kubwa chini ya kichwa cha habari "Serikali yanuka damu).Katika habari hiyo gazeti hilo limeelezea mlolongo wa matukio ya kigaidi wanaofanyiwa raia kama kutobolewa baadhi ya viungo vya mwili,mauaji katika mikusanyiko ya kisiasa na matukio ya watu kumwagiwa tindikali huku likilaumu serikali kwa kushindwa kuwakamata na kuwachukulia hatua wahusika wa vitendo hivyo.

Mbali na kuelezea matukio hayo,gazeti hilo pia limechapisha picha za waathirika wa vitendo hivyo vya kigaidi.Picha hizo katika ukurasa wa mbele ni zile za akina Dr.Ulimboka,Absalom Kibanda na picha kadha za watu waliomwagiwa tindikali.

Katika habari hiyo gazeti linadai kuchapisha maelezo ya watu mbalimbali ambao wametafsiri vitendo hivyo kuwa ni sawa na kusema serikali nanuka damu kwani vyombo vya dola ndio vinavyolaumiwa kutenda unyama huo na kuishangaa serikali kwa kutokuchukua hatua dhidi ya wahusika.

MY TAKE:
GAZETI LIKO SAHIHI KABISA KUCHAPISHA HABARI HIYO NA KUCHAMBUA MATUKIO HAYO.LAKINI SITASHSNGAA KUSIKIA GAZETI HILO LIKIPATA VITISHO KUTOKA SERIKALINI NA PENGINE HATA KUTUHUMIWA KWA UCHOCHEZI.

HII NDIO KAZI NZURI YA VYOMBO VYA HABARI.

BIG UP MTANZANIA JUMATANO KWANI UJUMBE UMEFIKA!

Kichwa cha habari kimekaa kichochezi sana wangeweza kutumia lugha nyingine kufikisha ujumbe wao lakini ishu ya serikali kunuka damu siyo ya kupongezwa hata kidogo, Haya magazeti yana agenda zao na yanabebwa na hisia za mmiliki wa chombo husika kuliko Taaluma.
 
'CCM imemwaga damu na inazidi kumwaga damu kutokana na ulevi wa madaraka'
 
Gazeti la leo la Mtanzania(Mtanzania Jumatano) limebeba habari kubwa chini ya kichwa cha habari "Serikali yanuka damu).Katika habari hiyo gazeti hilo limeelezea mlolongo wa matukio ya kigaidi wanaofanyiwa raia kama kutobolewa baadhi ya viungo vya mwili,mauaji katika mikusanyiko ya kisiasa na matukio ya watu kumwagiwa tindikali huku likilaumu serikali kwa kushindwa kuwakamata na kuwachukulia hatua wahusika wa vitendo hivyo.

Mbali na kuelezea matukio hayo,gazeti hilo pia limechapisha picha za waathirika wa vitendo hivyo vya kigaidi.Picha hizo katika ukurasa wa mbele ni zile za akina Dr.Ulimboka,Absalom Kibanda na picha kadha za watu waliomwagiwa tindikali.

Katika habari hiyo gazeti linadai kuchapisha maelezo ya watu mbalimbali ambao wametafsiri vitendo hivyo kuwa ni sawa na kusema serikali nanuka damu kwani vyombo vya dola ndio vinavyolaumiwa kutenda unyama huo na kuishangaa serikali kwa kutokuchukua hatua dhidi ya wahusika.

MY TAKE:
GAZETI LIKO SAHIHI KABISA KUCHAPISHA HABARI HIYO NA KUCHAMBUA MATUKIO HAYO.LAKINI SITASHSNGAA KUSIKIA GAZETI HILO LIKIPATA VITISHO KUTOKA SERIKALINI NA PENGINE HATA KUTUHUMIWA KWA UCHOCHEZI.

HII NDIO KAZI NZURI YA VYOMBO VYA HABARI.

BIG UP MTANZANIA JUMATANO KWANI UJUMBE UMEFIKA!

huwa ni kawaida mwizi kumsifia mwizi mwenzake hata wahuni kama chadema husifiwa na wahuni wenzao.
Sikushangai kwa haya maneno yako na hili gazeti lako kwa kuwa upe wenu unafanana hakuna jpya katika hili.
Hutafanikiwa kamwe slaa mwenyewe alijaribu kashindwa sasa wadogozake kama nyie ndiyo mnahangaika.
 
nachukia udhalimu, nachukia uchochezi nachukia chuki na hasama. kweli kabisa. mtz sio gazeti la kusoma

Mkuu nasoma sana uchangiaji wako humu JF,huwa unanishangaza sana.....
 
nachukia udhalimu, nachukia uchochezi nachukia chuki na hasama. kweli kabisa. mtz sio gazeti la kusoma

ingependeza sana kama ungechukia mauaji yanayofanywa na CCM badala ya kuchukia gazeti linayoibua mauaji hayo.

Do not hate the player, hate the game you stupid.
 
mtanzania damu damu na tanzania daima. full udaku na uchochezi
Yaan wew jamaa kila mchango unaouandika ni kupingana na wanaotoa lawama dhidi ya uchafu na udhaifu unaonekana machoni pa jamii ya kitanzania!! Hivi huwa unalipwa nn kutetea upuuzi?
 
huwa ni kawaida mwizi kumsifia mwizi mwenzake hata wahuni kama chadema husifiwa na wahuni wenzao.
Sikushangai kwa haya maneno yako na hili gazeti lako kwa kuwa upe wenu unafanana hakuna jpya katika hili.
Hutafanikiwa kamwe slaa mwenyewe alijaribu kashindwa sasa wadogozake kama nyie ndiyo mnahangaika.

wauaji wakubwa nyie.
Hizi damu zinazomwagwa na CCM na nyie watetezi wa CCM mkitetea kwa nguvu zote mmesahau machozi na damu hizi zitawalilia vizazi vyenu vyote shetani nyie mmelaaniwa hadi vizazi vya tisa.
 
Mkuu nasoma sana uchangiaji wako humu JF,huwa unanishangaza sana.....

Yaani huyu kama ni gari tungesema liko free ( mtaani wanasema liko nyutro) kwa maana linajiendea bila control
 
Yaan wew jamaa kila mchango unaouandika ni kupingana na wanaotoa lawama dhidi ya uchafu na udhaifu unaonekana machoni pa jamii ya kitanzania!! Hivi huwa unalipwa nn kutetea upuuzi?

Huyu ukifuatilia background yake kama alikuwa haibii mitihani basi alikuwa anakariri
 
Hivi wizi kama huu tunaruhusiwa kuwapeleka polisi?mie juzi nimeongeza salio kupitia nmb mobile halafu kwa mshangao walinikata kama 660 nikawapigia wananiambia eti nilikopa,kitu ambacho si kweli!Wanaudhi sana na wizi huu sijui hali hii itadhibitiwa vipi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom