MTANZANIA ALIYEPO KIGALI

masalapa

Senior Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
139
Reaction score
68
Wadau,

Mimi leo ni mara ya kwanza kutembelea Nchi hii maridhawa kabisa ya Maj. Gen. PK. Kama yupo "Mswahili"mwenzangu ambaye yuko huku naomba tuwasiliane angalau kupata uenyeji wa kutembea /kulizunguka Jiji la Kigali kwa siku hizi chache nitakazokuwepo huku.

Details zaidi njoo inbox.
 
Safi sana kwa kumtembelea PK siku Chache tutakuwa "hatukuambii chochote"kuhusu Rwanda
 
Gentamycine mwanae LIKUD na felakuti huwa anajisemesha kwamba yupo huko na ni mtu wa huko.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…