tumezoea kwa miaka michache iliyopita mfululizo uwepo wa mpambano mkali kati ya watani wa jadi SIMBA V YANGA.., unaodhamiwa na bia ya Kilimanjaro.
Lakini kwa mwaka huu kumekuwa kimya amna ata dalili za uwepo wa mtani jembe! vipi wadau wakuu wako wap mbona awatoi tarifa?