mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Nimekuwa nakifuatilia sana kipindi cha michezo kinachorushwa Na Redio ya Times FM Na kutangazwa Mtangazaji Ndimbo.
Mtangazaji huyu aliwahi kuwa Afisa Habari wa Klabu ya Simba Na baadae alifukuzwa. Mtangazaji huyu toka amefukuzwa Klabu ya Simba basi amekuwa anaiponda sana klabu hiyo Na viongozi wake.
Amekuwa anajitahidi kutafuta matokeo mabaya ya Klabu ya simba Na kuyatangaza Kwa nguvu zote hata kama habari yenyewe haina uzito ili mradi akidhi kiu yake hali ambayo inaonyesha chuki aliyonayo dhidi ya hiyo klabu.
Tunapenda kumshauri Bw.Ndimbo klabu ya simba ipo Na itaendelea kuwepo ila yeye Ndimbo kuna siku atakosa kipaza sauti Na hata sikika. Iache Simba Yetu tangaza Kwa kufuata maadili acha chuki binafsi dhidi ya klabu ya simba Na viongozi wake.
Mtangazaji huyu aliwahi kuwa Afisa Habari wa Klabu ya Simba Na baadae alifukuzwa. Mtangazaji huyu toka amefukuzwa Klabu ya Simba basi amekuwa anaiponda sana klabu hiyo Na viongozi wake.
Amekuwa anajitahidi kutafuta matokeo mabaya ya Klabu ya simba Na kuyatangaza Kwa nguvu zote hata kama habari yenyewe haina uzito ili mradi akidhi kiu yake hali ambayo inaonyesha chuki aliyonayo dhidi ya hiyo klabu.
Tunapenda kumshauri Bw.Ndimbo klabu ya simba ipo Na itaendelea kuwepo ila yeye Ndimbo kuna siku atakosa kipaza sauti Na hata sikika. Iache Simba Yetu tangaza Kwa kufuata maadili acha chuki binafsi dhidi ya klabu ya simba Na viongozi wake.