Mtandao wa halotel

Mtandao wa halotel

karugila

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2014
Posts
1,275
Reaction score
687
Nawapongeza sana maana hata internet ya hapa ni ya kas .hongera hata vijijini mnapatikana
 
Kuna mahali nmefika leo, hakuna network ya voda wala airtel wala tigo. Nmekuna wanavijiji wanatumia halotel, huku simu yangu ikiandika emegency kwa laini zote mbili. Hao halotel wamejitahidi sana, nina mpango wa kutafuta laini zao. Wanakijiji wamenishauri nitumie halotel niwapo kule maana ndio pekee inayofanya kazi
 
Huu mtandao ni mzuri sana nipo shambani Liwale vijijini maandalizi ya mashamba nikishakusanya mabiwi nikichoka naenda bandani naingia JF Km nipo mjini yanidspeed yake hata nikiwa Dar mitandao mingine haipo hivi hii ni nzuri sana
 
Hawa jamaa ni noma kila sehemu ni 4G na 3G...!
 
Wote wanao support ni wafanyakazi wa huo mtandao, kwanza mlipaswa kulipia tangazo, bado sana na mtasubr sana.... jika..z.en mtafika
 
kesho naenda kuichonga line.hizi za kianalogia zanichosha.
 
Kiukweli tuache ushabiki usio na maana halotel wanatisha network bomba mbaya
 
wenyewe wanaanzia vijijin kuja mjini wapo vizuri .speed ya internet ni kufa mtu usipine 3g mpaka bushi kule ndani kabisa .
 
Wote wanao support ni wafanyakazi wa huo mtandao, kwanza mlipaswa kulipia tangazo, bado sana na mtasubr sana.... jika..z.en mtafika
Teh Teh na wewe ni mfanyakazi wa mtandao gani?
 
Hakuna mtandao uliofikia 5G tanzania,Tigo wamejitahidi wame lunch 4G.Acha kudanganya Uma
 
Back
Top Bottom