Mtandao wa Airtel una shida gani?

Mtandao wa Airtel una shida gani?

APA CHICAGO

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
259
Reaction score
292
Moja kwa moja kwenye maada ni kuwa mtandao wa airtel kwa siku kama tatu hivi siulewi yaana kuna kuwa na shida ya kupiga simu, kutuma sms na kupokea sms.

Yaani mtu anakutumia sms leo unaipata kesho hii ni haki? Shughulikieni hili tatizo; na pia Internet yenu inasumbua sana.
 
Tangu wameshusha vifulushi vyao vya muda wa maongezi,hakuna chochote kinachofanyika,ni wapuuzi kabisa,hata hapa Morogoro hawafai Airtel.
 
Back
Top Bottom