Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,265
wewe sio mtz....tuachie nchi yetu.All negative comments about the new president I call them useless and it shows inferiority complex after the demise of the so called UKAWA. The man has just taken an oath to start his job and yet somebody who doesn't know what Diplomacy is start to criticizes. My advice to you is that you should just keep your mouth shut and let the man work. It was the same in 1995 when Mkapa got into power but later people realized that the man was smart. The election is over and forget about EL because he is no longer
Acheni kumchafua Rais wetu. Taja ndugu yake 1 tu aliyemuuzia nyumba ya serikali kwa bei ya peremende. Mkiishiwa hoja mlale sio kuongea ngera hapa
Ni akina nani hao wanaokimbiana?Mafisadi wanakimbiana sasa. Na bado
Mafisadi wanakimbiana sasa. Na bado
Na watu Lowassa je?Baada ya kuapishwa magufuli leo ni wazi ule mtandao wa wanamtandao walliopanga mikakati ya kumyingiza jk ni wazi sasa unapumulia mashine. Lile kundi la Mkapa limerudi rasmi..
All negative comments about the new president I call them useless and it shows inferiority complex after the demise of the so called UKAWA. The man has just taken an oath to start his job and yet somebody who doesn't know what Diplomacy is start to criticizes. My advice to you is that you should just keep your mouth shut and let the man work. It was the same in 1995 when Mkapa got into power but later people realized that the man was smart. The election is over and forget about EL because he is no longer
Magufuli mwenyewe uozo; but, since the birds of the same feathers flocks together I expect JPM to appoint peope like himself! People without calibre and integrity.
Maskini Tanzania,sintoshangaa tukakumbuka Enzi ya mkwere. Jpm hana exposure na international affairs and he's completely naive to handle diplomatic issues.
Unafikiri wamezeeka na kufa wote?.....bado tunao mtaani na wanajua kinachoendelea waulize mwaka 1981 walikuwa wanaendeshaje usalama utaanzia hapo
Ni kweli Baba vinginevyo atageuka dictator kama hatofata protocl. Rais gani asemaye hapa kazi Tu wakati kazi alizofanya ziko ziko chini ya viwango?
Alielekezwa namna ya kusimamia zoezi la uuzwaji WA nyumba za serikale, kila ndugu yake aliziwa nyumba kwa bei ya peremende.
Watanzania tutajuta kwa kupata rais huyu!
Mafisadi wanakimbiana sasa. Na bado
acheni kumchafua rais wetu. Taja ndugu yake 1 tu aliyemuuzia nyumba ya serikali kwa bei ya peremende. Mkiishiwa hoja mlale sio kuongea ngera hapa
Ule mtandao.wa Chenge na wale mafisadi wengine wa Escrow atawapeleka hao mafisadi kwenye ile mahakama ya mafisadi?Kuuzima mtandao wa lowassa na wafanyabiashara ilikuwa si kazi rahisi. Hongera mh.rais Magufuli
Acheni kumchafua Rais wetu. Taja ndugu yake 1 tu aliyemuuzia nyumba ya serikali kwa bei ya peremende. Mkiishiwa hoja mlale sio kuongea ngera hapa
Ni kweli Baba vinginevyo atageuka dictator kama hatofata protocl. Rais gani asemaye hapa kazi Tu wakati kazi alizofanya ziko ziko chini ya viwango?
Alielekezwa namna ya kusimamia zoezi la uuzwaji WA nyumba za serikale, kila ndugu yake aliziwa nyumba kwa bei ya peremende.
Watanzania tutajuta kwa kupata rais huyu!
amteua George Masaju kuwa AG!