simon mato
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 926
- 484
- Thread starter
- #61
Kwani nyie mnavodiriki kumkashifu na kumdhihaki MAGUFULI hamuoni hayaa??? ya lowasa mbona inawauma sanaaaaKuna kitu naomba ujifunze, kwa maandishi yako unaonekana ni kijana mdogooo sanaaa!
Huyo Lowasa ni kama babu yako! Hivi babu yako na baba yako angekua Lowasa ungeandika haya? Je kama baba yako kama ni kahaba la kiume unaweza kumiandika humu kuwa ni kahaba la kiume?
Hebu heshimu umli bwana mdogo hii haiko hivi, wanaokisupport wao wanajua maana ya laana na hawaandiki ushuzi kama ulioandika, zingatia hili