Bird Watcher JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 4,491 Reaction score 9,259 Jun 29, 2026 #1 Wakuu, Naomba Kujua mtandao ambao atleast una Covarage nzuri ya mawasiliano Kwa hapa Tanzania Yani upatikane maeneo mengi zaidi.
Wakuu, Naomba Kujua mtandao ambao atleast una Covarage nzuri ya mawasiliano Kwa hapa Tanzania Yani upatikane maeneo mengi zaidi.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 54,943 Reaction score 54,001 Jun 29, 2026 #2 Yas
Josse kongolo JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 477 Reaction score 1,077 Jun 29, 2026 #3 Mix by yas japo hili jina limekaa kikuda ila kwa sasa wapo karibu kila kona hadi kiteto umaisaini
AXIOM APEX VERBOSE JF-Expert Member Joined Sep 12, 2022 Posts 12,233 Reaction score 20,526 Jun 29, 2026 #4 Airtel na Vodacom ingawa mtandao sometimes unakwama kwama sana sijui wanakuaga km TANESCO kukatika katika mauno tu kila wakati
Airtel na Vodacom ingawa mtandao sometimes unakwama kwama sana sijui wanakuaga km TANESCO kukatika katika mauno tu kila wakati
Bird Watcher JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 4,491 Reaction score 9,259 Jun 29, 2026 Thread starter #5 Josse kongolo said: Mix by yas japo hili jina limekaa kikuda ila kwa sasa wapo karibu kila kona hadi kiteto umaisaini Click to expand... Ooh Yas Kwa sasa Wana Covarage nzuri?
Josse kongolo said: Mix by yas japo hili jina limekaa kikuda ila kwa sasa wapo karibu kila kona hadi kiteto umaisaini Click to expand... Ooh Yas Kwa sasa Wana Covarage nzuri?
Bird Watcher JF-Expert Member Joined Aug 19, 2013 Posts 4,491 Reaction score 9,259 Jun 29, 2026 Thread starter #6 Josse kongolo said: Mix by yas japo hili jina limekaa kikuda ila kwa sasa wapo karibu kila kona hadi kiteto umaisaini Click to expand... AXIOM APEX VERBOSE said: Airtel na Vodacom ingawa mtandao sometimes unakwama kwama sana sijui wanakuaga km TANESCO kukatika katika mauno tu kila wakati Click to expand... Kati ya Airtel na Vodacom yupi ana Covarage kubwa zaidi
Josse kongolo said: Mix by yas japo hili jina limekaa kikuda ila kwa sasa wapo karibu kila kona hadi kiteto umaisaini Click to expand... AXIOM APEX VERBOSE said: Airtel na Vodacom ingawa mtandao sometimes unakwama kwama sana sijui wanakuaga km TANESCO kukatika katika mauno tu kila wakati Click to expand... Kati ya Airtel na Vodacom yupi ana Covarage kubwa zaidi
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 5,956 Reaction score 15,148 Jun 29, 2026 #7 Mtoto halali na hela said: Yas Click to expand... Hawa jamaa kwenye Internet wapo vizuri sana aise