πŒπ“π€πŒππŽ πŒπŠπ”ππ–π€ 𝐖𝐀 πŠπ”π‚π‡π€πŠπ€ πŒπ€π‰πˆ π“π€πŠπ€ π–π€πŠπ€π‘πˆππˆπ€ πŠπ”πŠπ€πŒπˆπ‹πˆπŠπ€

πŒπ“π€πŒππŽ πŒπŠπ”ππ–π€ 𝐖𝐀 πŠπ”π‚π‡π€πŠπ€ πŒπ€π‰πˆ π“π€πŠπ€ π–π€πŠπ€π‘πˆππˆπ€ πŠπ”πŠπ€πŒπˆπ‹πˆπŠπ€

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
731
Reaction score
659
Ujenzi wa mtambo wa kisasa wa kuchakata maji taka, unaotajwa kuwa miongoni mwa mitambo mikubwa ya aina hiyo katika Ukanda wa Afrika Mashariki, umefikia asilimia 99. Pamoja na vituo vya kusukuma maji, mradi huo unaelekea kukamilika huku kazi ya kuwaunganisha wananchi kwenye mfumo wa huduma ikiendelea, hatua inayotarajiwa kuimarisha usafi wa mazingira na afya ya jamii.
IMG-20260902-WA0038.jpg
 
Yaani tunakimbilia kuchakata maji taka wakati tuna vyanzo kibao vya maji safi.
 
Back
Top Bottom