Mtalaka wa Sugu azuiwa kuingia ofisi za RITA

unaposema mtalaka nakua sikuelewi


pili: hiyo nguo sijaona tatizo lake
 
Ndo shida ya maduu wakuta mtu kabeba handbag la nguvu hata kaweka khanga au mtandio ni shida,mwanamke Watakiwa uwe na khanga hata kwenye handbag yako,sasa Hapo asingepata mstiri ingekuaje
 
Hakuna shida hapo. Hivi mavaz yetu kabla ya wakoloni na waarabu yalikuwaje???
Safi sana.....kweli umefikiri....nafikir ndo ujue kwamba tafsiro ya mambo inaanzia kwenye ubongo...mentality tu....zamani wanawake wa kiafrika walikua wanatembea sehemu nyingi wazi...wanaume walikua wanaziba mbele...nyuma kote nje.....
 
Kila sehemu kunataratibu zake ktk ofc za umma na baadhi ya taacc za dini huruhusiwi kuvaa nguo za namna furani, nitaratibu zilizo wekwa kisheria, nilazima kuzitii hutaki basi ujue wazi huduma hutopata, hakuna anaye onewa hapa, nirazma tujifunze kueshimu sheria zetu tunazojiwekea
 
Huyo askari yuko vzr sana ipo sehemu faiza alikosea sio nguo tu,hasingeweza kumzuia maana hata utawara waliwakataza kuwapangia wateja nguo za kuvaa labda uwe mtumishi mle ndani ndio utarudishwa ukabadili.wateja wengi wanaingia na nguo za ajabu ajabu na hawajawai kuzuiliwa hata siku moja IPO tu walipokwazana akaona amkomalie kwenye nguo.

Kutafutiza kosa la kumkomoa mtu, bado ni maadili ya utumishi wa uma?
 
Khaaah!! Hao nao wehu, hiyo nguo ina shida gani!!!
Kwenye ofisi ya Umma kwa mwanamke nguo inatakiwa kuvuka magoti hasa skirt au gauni hivyo walikuwa na haki ya kumtimua
 
Back
Top Bottom