Mtalaka wa Sugu azuiwa kuingia ofisi za RITA

Midekoo

JF-Expert Member
Mar 30, 2015
38,865
209,226
25023031_2010446309198856_8172577896699789312_n.jpg
Mtalaka wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu", Faiza Ally alijikuta akizuiwa kuingia katika ofisi za RITA jijini Dar es Salaam kutokana na kuvaa mavazi yasiyo na staha.

Askari waliokuwepo ofisi za RITA walimtaka Faiza Ally akabadili vazi na kuvaa linalostahili kuvaliwa katika ofisi ya umma. Baada ya mvutano, alijitokeza msamaria aliyemuazima mtandio ambao alivaa na ndipo aliporuhusiwa kuingia ofisini ili kutimiziwa shida iliyompeleka.
 
Mtalaka wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu", Faiza Ally alijikuta akizuiwa kuingia katika ofisi za RITA jijini Dar es Salaam kutokana na kuvaa mavazi yasiyo na staha.

Askari waliokuwepo ofisi za RITA walimtaka Faiza Ally akabadili vazi na kuvaa linalostahili kuvaliwa katika ofisi ya umma. Baada ya mvutano, alijitokeza msamaria aliyemuazima mtandio ambao alivaa na ndipo aliporuhusiwa kuingia ofisini ili kutimiziwa shida iliyompeleka.


View attachment 668362

Upumbavu. Sasa hilo gauni lina tatizo gani? Mambo mengine ni wendawazimu na kutaka attention za kipumbavu!
 
Nguo ndefu kbsa hyo,mie nlijua kavaa kipensi au ndio kisa kavaa faiza basi imekua nongwa!! Huyo askari hata mie kanikera

Mijitu mipumbavu inatafuta personal interest satisfaction kwa watu kinyume cha sheria. Uonevu huo.

Kwanza haian tofauti na hiyo alovaa yeye. Wewe ukiona askar kaning'iniza tumo hivo na hata kwa kumwangalia tu lazima ujue kuna tatizo mahala. Wivu wa kike!. Puambafu!
 
View attachment 668359 Mtalaka wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu", Faiza Ally alijikuta akizuiwa kuingia katika ofisi za RITA jijini Dar es Salaam kutokana na kuvaa mavazi yasiyo na staha.

Askari waliokuwepo ofisi za RITA walimtaka Faiza Ally akabadili vazi na kuvaa linalostahili kuvaliwa katika ofisi ya umma. Baada ya mvutano, alijitokeza msamaria aliyemuazima mtandio ambao alivaa na ndipo aliporuhusiwa kuingia ofisini ili kutimiziwa shida iliyompeleka.
Nimelipenda tumbo la Afande mmama
 
Back
Top Bottom