Mtaji wa kura kwa Lowassa

Mtaji wa kura kwa Lowassa

H20

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
341
Reaction score
170
[TABLE="class: grid, width: 756"]
[TR]
[TD]MKOA
[/TD]
[TD] IDADI YA WATU SENSA YA MWAKA 2012 [/TD]
[TD] 2.8% ONGEZEKO LA IDADI YA WATU KWA MWAKA (IDADI YA MWAKA 2015) [/TD]
[TD]50% YA WA TZ UMRI WA KUPIGA KURA
[/TD]
[TD]
MIKOA YENYE HAMASA KWA UKAWA NA ENL
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DODOMA[/TD]
[TD] 2,083,588
[/TD]
[TD] 2,202,353[/TD]
[TD] 1,101,176[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ARUSHA[/TD]
[TD] 1,694,310[/TD]
[TD] 1,790,886[/TD]
[TD] 895,443[/TD]
[TD]
895,443
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KILIMANJARO[/TD]
[TD] 1,640,087[/TD]
[TD] 1,733,572[/TD]
[TD] 866,786[/TD]
[TD]
866,786
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANGA[/TD]
[TD] 2,045,205[/TD]
[TD] 2,161,782[/TD]
[TD] 1,080,891[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MOROGORO[/TD]
[TD] 2,218,492[/TD]
[TD] 2,344,946[/TD]
[TD] 1,172,473[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]PWANI[/TD]
[TD] 1,098,668[/TD]
[TD] 1,161,292[/TD]
[TD] 580,646[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]DAR[/TD]
[TD] 4,364,541[/TD]
[TD] 4,613,320[/TD]
[TD] 2,767,992[/TD]
[TD]
2,767,992
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LINDI[/TD]
[TD] 864,652[/TD]
[TD] 913,937[/TD]
[TD] 456,969[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MTWARA[/TD]
[TD] 1,270,854[/TD]
[TD] 1,343,293[/TD]
[TD] 671,646[/TD]
[TD]
671,646
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUVUMA[/TD]
[TD] 1,376,891[/TD]
[TD] 1,455,374[/TD]
[TD] 727,687[/TD]
[TD]
727,687
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]IRINGA[/TD]
[TD] 941,238[/TD]
[TD] 994,889[/TD]
[TD] 497,444[/TD]
[TD]
497,444
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MBEYA[/TD]
[TD] 2,707,410[/TD]
[TD] 2,861,732[/TD]
[TD] 1,430,866[/TD]
[TD]
1,430,866
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SINGIDA[/TD]
[TD] 1,370,637[/TD]
[TD] 1,448,763[/TD]
[TD] 724,382[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TABORA[/TD]
[TD] 2,291,623[/TD]
[TD] 2,422,246[/TD]
[TD] 1,211,123[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]RUKWA[/TD]
[TD] 1,004,539[/TD]
[TD] 1,061,798[/TD]
[TD] 530,899[/TD]
[TD]
530,899
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KIGOMA[/TD]
[TD] 2,127,930[/TD]
[TD] 2,249,222[/TD]
[TD] 1,124,611[/TD]
[TD]
1,124,611
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SHINYANGA[/TD]
[TD] 1,534,808[/TD]
[TD] 1,622,292[/TD]
[TD] 811,146[/TD]
[TD]
811,146
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KAGERA[/TD]
[TD] 2,458,023[/TD]
[TD] 2,598,130[/TD]
[TD] 1,299,065[/TD]
[TD]
1,299,065
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MWANZA[/TD]
[TD] 2,772,509[/TD]
[TD] 2,930,542[/TD]
[TD] 1,465,271[/TD]
[TD]
1,465,271
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MARA[/TD]
[TD] 1,743,830[/TD]
[TD] 1,843,228[/TD]
[TD] 921,614[/TD]
[TD]
921,614
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MANYARA[/TD]
[TD] 1,425,131[/TD]
[TD] 1,506,363[/TD]
[TD] 753,182[/TD]
[TD]
753,182
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]NJOMBE[/TD]
[TD] 702,097[/TD]
[TD] 742,117[/TD]
[TD] 371,058[/TD]
[TD]
371,058
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KATAVI[/TD]
[TD] 564,604[/TD]
[TD] 596,786[/TD]
[TD] 298,393[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SIMIYU[/TD]
[TD] 1,584,157[/TD]
[TD] 1,674,454[/TD]
[TD] 837,227[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]GEITA[/TD]
[TD] 1,739,530[/TD]
[TD] 1,838,683[/TD]
[TD] 919,342[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KASKAZINI UNGUJA[/TD]
[TD] 187,455[/TD]
[TD] 198,140[/TD]
[TD] 99,070[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUSINI UNGUJA[/TD]
[TD] 115,588[/TD]
[TD] 122,177[/TD]
[TD] 61,088[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MJINI MAGHARIBI[/TD]
[TD] 593,678[/TD]
[TD] 627,518[/TD]
[TD] 313,759[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KASKAZINI PEMBA[/TD]
[TD] 211,732[/TD]
[TD] 223,801[/TD]
[TD] 111,900[/TD]
[TD]
111,900
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KUSINI PEMBA[/TD]
[TD] 195,116[/TD]
[TD] 206,238[/TD]
[TD] 103,119[/TD]
[TD]
103,119
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD] 44,928,923[/TD]
[TD] 47,489,872[/TD]
[TD] 24,206,268[/TD]
[TD]
15,349,730
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Wadau mkiangalia hilo jedwali hapo juu ni idadi ya watu kwa takwimu za mwaka 2012. Makadirio ya ongezeko hadi mwaka 2015 ni jumla ya watanzania 47,489,872. (Ongezeko la asilimia 2.8 kwa mwaka). Idadi ya watanzania wenye umri wa kupiga kura ni asilimia 49.9 sawa na asilimia 50. Kwa hiyo idadi ya wapiga kura wote Tanzania ni 24,206,268

Kuna mikoa 14 ya Tanzania yenye hamasa kubwa ya mabadiliko ambayo idadi ya wapiga kura ni 15,349,730 sawa na asilimia 63 ya wapiga kura wote. Kutokana na hamasa ya mikoa hii ni dhahiri ndugu ENL atapata wastani wa 65% ya kura zote hivyo atakuwa na kura 9,977,324. Mikoa 16 iliyobaki by assumption atapata wastani wa 45% yakura8,856,538 za mikoa hiyoambazo ni 3,542,615. Ukijumlisha kura atakazopata ENL inakuwa 13,519,940 ambayo ni sawa na 56%.

Mabadiliko yanaweza kutokea kulingana na mambo yafuatayo:

- Ushawishi na mvuto wa wagombea wa nafasi ya Uraisi.

- Mvuto na namna kampeni zitakavyoendeshwa

- Watu wenye ushawishi pamoja na wafuasi wao kuhama vyama

- Hali ya kutokuaminiana ndani ya CCM na watu kutokuridhika na baadhi ya matokeo ya kura za maoni

- Kuna watu ambao hawatapiga kura na wengi ni katika mikoa isiyo na hamasa kubwa kwa mabadiliko.

- Kuna mikoa itakayohamasika zaidi kupiga kura.

Wadau huu ni mtazamo tu wa kitakwimu na hali halisi inavyoendelea hapa nchini.
Nawasilisha.
 
Naona team lowasa wanazunguka vijiwe vya boda boda kuandikisha watu sijui ndo kukusanya kura!
 
Ila ukawa wahakikishe wanafuatilia tatizo la watu kutoona majina yao hasa vijana, ccm wasije wakaleta uhuni
 
Kwa jina la mungu ninaye mwambini ni wazi kabisa lowasaa anashinda kwa kura nyingi kuliko ambvyo inatarajiwa anashinda kura ambazo rais yoyote wa Africa mashariki na kati hajawahi kushinda ninafuraha kura yangu ni miongoni mwa kura hizo!
 
Mimi kila ninaye muuliza kwa simu, kukutana uso kwa uso, au mitandaoni...mbona sioni wa kuipigia CCM kura... sijaona seriously...!!

Hadi sasa, sielewi CCM itapata kura kutoka wapi...!!!
 
Back
Top Bottom