Huo siyo utafiti ni uzushi tu.
Niliposikia matokeo ya uchaguzi ya kila kituo yatabandikwa hapo hapo kituoni baada ya mawakala kuyaafiki,kusaini na kubaki na nakala kwa kila mmojawao nimefarijika sana. Haya mambo mengine sijui utafiti ni kutuchanganya wapiga kura.