Nae labda akipakua anapakua kama vile anahama. Si awe anakula kidogo kidogo mara nyingi?
kwao kafukuzwa?
Anyways akimuita little miss piggy na yeye amuite little mr monkey!
hiyo ni sawa na ubaguzi na nyege zake huyo shogayo zitamponza siaondokage tu kwani lazima kuishi na mzungu au ndio wale wa uv turn nini?
Hiyo itakuwa vita sasa, kumbuka mmoja lazima akubali kuwa chini ndo maisha yaende