Umenikumbusha siku moja Mwanza nimeenda kunyoa salon moja ya muhindi na yeye ndio kinyozi na pembeni kuna totoz ya kihindi sasa akaniambia vp nifanyiwe scrub nikaitikia kwa kiherehere nikijua fursa ya kufanyiwa scrub na totoz ya kihindi weeeee kumbe ni yeye mwenyewe eti anifanyie niliruka hadi akacheka...nikamwambia waziwazi raha hiyo kitu ufanyiwe na jinsia tofauti