Dada Annina,
Nenda pale Chuo cha Ardhi,utapa wapo tele na bei zao poa sana,
Maana wao wanataka wajazie pocket money tu,lakini ukitafuta wale wenye maofisi yao hiyo pesa yake lazima ukimbie wakati hata mwanafunzi wa mwaka wa tatu tu anakupigia poa tu.