Uko uzi umu watu walikuwa wanauliza kama ule uwekezaji wa kuku uko vizuri ili wajiunge.
Kama uko hapa jukwaani na umelizwa ni vizuri utupe mrejesho. Hii "story" huwezi kuisikia sana sababu watu wengi wanaolizwa mahela mengi mchana kweupe katika hizi fursa za uwekezaji ambazo zina "trend" sana siku hizi wengi wao wanakaa kimyaa ili wasijulikane wamepigwa.
Na mimi nilipigwa katika "fursa" nyingine tofauti na hiyo ya KUKU lakini tulisimama kidete na karibia "kibosile" aliyetuingiza mjini ataenda kunyea debe asiporejesha mpunga wetu.
Kama uko hapa jukwaani na umelizwa ni vizuri utupe mrejesho. Hii "story" huwezi kuisikia sana sababu watu wengi wanaolizwa mahela mengi mchana kweupe katika hizi fursa za uwekezaji ambazo zina "trend" sana siku hizi wengi wao wanakaa kimyaa ili wasijulikane wamepigwa.
Na mimi nilipigwa katika "fursa" nyingine tofauti na hiyo ya KUKU lakini tulisimama kidete na karibia "kibosile" aliyetuingiza mjini ataenda kunyea debe asiporejesha mpunga wetu.