Mtaalam wa kilimo na ufugaji Morogoro

Tupo mbeya sasa
 
Mimi nina eneo zuri huko Turiani na ninapenda sana kuwekeza kwenye kilimo BUT tatizo kuu ni mifugo, wamang'ati na wamasai wamekuwa ni kikwazo kikubwa sana kwa ufugaji wao wa holela. Nishawishi ni kwa namna gani wewe utakabiliana na hii changamoto??
Mkuu natafuta eneo kwajili ya kilimo Turiani, la kununua naomba muongozo wako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…