Mswada kujadiliwa bungeni?

Mswada kujadiliwa bungeni?

MASHOW

Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
34
Reaction score
1
Naomba kueleweshwa je kilichotakiwa kuchangiwa katika huu mswada ilikuwa ni ishu ya wakuu wa wilaya,wakurugenzi na wanasiasa kuingia mana wachangiaji wote wameishia hapo.vip kuhusu malalamiko ya mamlaka ya rais katika katiba?
 
Back
Top Bottom