Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267


Ndege hiyo iliyotoka Beira, Msumbiji na kuelekea Harare, Zimbabwe iligonga mlima Vumba karibu na mpaka kati ya Msumbiji na Zimbabwe na kuangukia nchini Zimbabwe
Idara hiyo imesema hali mbaya ya hewa inaweza kuwa chanzo cha ajali hiyo. Timu ya mafundi inayoongozwa na Zimbabwe imeanza uchunguzi wa ajali hiyo, huku idara hiyo ya Msumbiji ikisema ina wajibu wa kushirikiana na timu hiyo kwa kuwa ina data muhimu zinazoweza kusaidia uchunguzi huo.
Chanzo: CRI/Kiswahili