Mimi ni msukuma toka Mwanza, nipo Dar Es Salaam tangu 2006, nimemalza Chuo Kikuu mwaka 2009 na kupata kaz hapa DSM,kaja mjombo wangu kunitembelea jana nilimpeleka Mliman City, fika pale akaniulza kiingilio hapa si ni bei sana? Huku kavua viatu kashka mkonon et atachafua du auncle!!!!!