baadhi yetu wanaume ni waongo sana. hivi kweli mwanaume timamuaweza danganya kuwa yeye haongi? Nijuavyo mimi wanaume wote tuntoa rujua kupata kile tutakacho kwa mwanamke hata akiwa wa ndoa ilatunaona aibu kukubali kuwa tunahonga kwa vile tunajidanganya kuwa sifa ya mwanamume ampigishe mwanamama mdomo mpaka ajilaze kama ngamia wa kuchinjwa. Mwe! siwajui walalao bila walau rushwa kwa ahadi. Wanangu achene kudanganyana sifa ya mwanababa ni kuhonga si kupiga domo tupu utashangaa wenzio wanajibebea wewe upo tu na maneno yako mengi! Honga mwanaume uujue utamu.