Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,223
- 998
Wakuu kuna huu ubishani ambao mafundi wamekuwa wakiuleta kuhusu upi ni bora. Naomba wataalamu wanisaidie hapo.
Upi unakuwa imara zaidi na kwaninimsingi wa mawe, au kama ni wa tofali unaweka na mkanda wa zege na nondo
Thanks mkuu. Wanadai tofali za msingi zinawekwa cement kali hivyo zinakuwa imara na kwamba matofalj ya msingi yakilazwa bapa kuweka ufa sio rahisiMsingi wa mawe ni imara zaidi..
Mara nyingi kinachofanya mtu kutumia mawe au tofali ni upatikanaji wake na garama pia.. ila kama uko maeneo ambayo mawe yapo na bei yake inahimilika ni bora utumie mawe.
Mawe kwanza huwa haya pukutiki kama tofali zinapokutana na maji..
Pia matofali tena haya ya cement yana life span ambapo muda ukifika huanza kudecompose maana kama unafahamu cement ni organic material so nakushauri tumia mawe zaidi..
Yah ni kweli Inabidi ziwe na ratio kali napia zilazwe ila kama mawe yapo nani bei nafuu tumia mawe..Thanks mkuu. Wanadai tofali za msingi zinawekwa cement kali hivyo zinakuwa imara na kwamba matofalj ya msingi yakilazwa bapa kuweka ufa sio rahisi
Anasema mfuko mmoja kwa tofali 25 mpaka 30Unajengea wapi?msingi wa mawe ni recommended lakini kama hayapatikani kirahisi mf Dar unaweza kutumia tofali lakini lazima resho ya tofali na cement ziwe kali. Tofali ukitumia tofali 35 kwa mfuko sio mbaya
Moderator nimewashauri kuanzisha jukwaa la ujenzi mnaona ntafaidi
Sawa tu,ingawa inategemea na aina ya cement.mfano nyati plus ukipiga 30 inakuwa too much,so 35 inakiwa poa tu.BTW fuata ushauri wa fundi kwa hapoAnasema mfuko mmoja kwa tofali 25 mpaka 30
Mkuu vipi ombi lako la kuanzishwa jukwaa la ujenzi limefikia wapi?Unajengea wapi?msingi wa mawe ni recommended lakini kama hayapatikani kirahisi mf Dar unaweza kutumia tofali lakini lazima resho ya tofali na cement ziwe kali. Tofali ukitumia tofali 35 kwa mfuko sio mbaya
Moderator nimewashauri kuanzisha jukwaa la ujenzi mnaona ntafaidi
Sasa kwa mfano mimi nipo Mwanza. Tripu ya mawe ya 4 cub ni kuanzia 50,000 hadi 65,000 kulingana na site ilipo. Naanzaje sasa kutumia msingi wa tofali sasa!!?. Kwanza gharama ya msingi wa tofali ni kubwa zaidi.Msingi wa mawe ni imara zaidi..
Mara nyingi kinachofanya mtu kutumia mawe au tofali ni upatikanaji wake na garama pia.. ila kama uko maeneo ambayo mawe yapo na bei yake inahimilika ni bora utumie mawe.
Mawe kwanza huwa haya pukutiki kama tofali zinapokutana na maji..
Pia matofali tena haya ya cement yana life span ambapo muda ukifika huanza kudecompose maana kama unafahamu cement ni organic material so nakushauri tumia mawe zaidi..