Kigongoi kwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 506
- 540
Hapo wale wa buku saba wakija watakujibu 'Usitutishe! Usitutishe! Usitutishe! CCM bado ipo imara sana'
Kumekuwa na hoja zinazotolewa na baadhi ya watu kwamba iwepo tumehuru ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2020. Na kwamba tume hiyo iwe shirikishi ili kuondoa malalamiko.
Binafsi sidharau maoni ya watu wenye mawazo ya namna hiyo kwa sababu wanatimiza wajibu wao wa kutoa maoni kama mimi ninavyofanya.
Moja ya hoja ya malalamiko ni kwamba iliyopo inachaguliwa na mwenyekiti wa chama kinachoingia kwenye ushindani.
Nyingine ni kwamba hata wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa chama.nk
Hoja zote hizo ni za msingi kabisa.
Rai yangu kwa CCM ni kwamba msikubali tume ya namna hiyo kwa sababu siku mkijaribu kufanya hivyo mtaangukia pua kwa sababu zifuatazo:
1. Sio kweli kwamba wanaohamia huko wanaipenda ccm,wengi wanaohama vyama ni kwa sababu ya ugumu wa kufanya siasa wakiwa upande wa pili.
2. Wengi wanaokuja huko wanaunga mkono juhudi za mh Rais, sio kwa sababu wanakipenda chama. Rejea walichozungumza baada ya kurejea,hawasemi Sera zimewavuta.
3.Wanachama mnaodai ni mil 15 mlionao si kweli,na hata kama wapo kuna wale ambao wanaweza kukishangilia chama mchana lakini usiku wa upinzani. Hivyo ni vigumu kuamini kwamba kundi lote hilo ni ccm.
Pamoja na hayo na mengine nasisitiza mzuie mikutano ya upinzani,mkiruhusu hakika mwisho wenu utakuwa mbaya.
Kumbukeni kwamba upinzani upo tena una nguvu saaan. Msikubali tume huru
Mkuu😂😂😂 nimecheka kwa sautii et tikiti majiNilipokuwa Arusha kulitokea ugomvi kata fulani. Mmoja wa wanaogombana bahati nzuri namfahamu. Nikamuuliza mbona vita, si mkae muongee tu? Akasema amejaribu kujieleza lakini hasikilizwi. Nikamuuliza sababu nini? Akasema wanamwita TIKITI MAJI. Nikacheka nikamwambia na wewe si uwaite hivyo? Akasema wewe huelewi, maana ya tikiti maji ni kuwa juu ni KIJANI ndani nyekundu yaani mchana CCM usiku CHADEMA. Ndio nikajua kumbe CCM wao kwa wao hawaaminiani!!!
Mtoa mada nadhani uko sahihi hata kama kuna baadhi ya hoja sizikubali.
Nauona mgawanyiko kama waliotoka upinzani wakaja Ccm wakipewa nafasi kugombea na Kuwaacha waliosotea chama halafu matikiti maji yaje yachukue nafasi kirahisi hivyo? Hahaaa!!!!!!!
Kama wametumwa kama mamluki je? Au kuna wanaodhani wapinzani hawawezi kuingia chama tawala kwaajili ya kuiba siri?
MACHO KODOOO!! Mimacho mwaka!!! Hapa lazima kiwake, gegereka!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na hoja zinazotolewa na baadhi ya watu kwamba iwepo tumehuru ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2020. Na kwamba tume hiyo iwe shirikishi ili kuondoa malalamiko.
Binafsi sidharau maoni ya watu wenye mawazo ya namna hiyo kwa sababu wanatimiza wajibu wao wa kutoa maoni kama mimi ninavyofanya.
Moja ya hoja ya malalamiko ni kwamba iliyopo inachaguliwa na mwenyekiti wa chama kinachoingia kwenye ushindani.
Nyingine ni kwamba hata wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa chama.nk
Hoja zote hizo ni za msingi kabisa.
Rai yangu kwa CCM ni kwamba msikubali tume ya namna hiyo kwa sababu siku mkijaribu kufanya hivyo mtaangukia pua kwa sababu zifuatazo:
1. Sio kweli kwamba wanaohamia huko wanaipenda ccm,wengi wanaohama vyama ni kwa sababu ya ugumu wa kufanya siasa wakiwa upande wa pili.
2. Wengi wanaokuja huko wanaunga mkono juhudi za mh Rais, sio kwa sababu wanakipenda chama. Rejea walichozungumza baada ya kurejea,hawasemi Sera zimewavuta.
3.Wanachama mnaodai ni mil 15 mlionao si kweli,na hata kama wapo kuna wale ambao wanaweza kukishangilia chama mchana lakini usiku wa upinzani. Hivyo ni vigumu kuamini kwamba kundi lote hilo ni ccm.
Pamoja na hayo na mengine nasisitiza mzuie mikutano ya upinzani,mkiruhusu hakika mwisho wenu utakuwa mbaya.
Kumbukeni kwamba upinzani upo tena una nguvu saaan. Msikubali tume huru
HahahaaaaWewe umelewa togwa,sio bure
Shikamoo Mzee RetiredNilijiunga na UVCCM miaka ya 70 kwa vile kwenda University ilibidi uwe na kadi. Limwili lilikuwa kule lkn rohoni nilikuwa sipo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapika gongo na wauzaji wakubwa wa Gongo wa DSM wanatokea Keko Mwanga , kila mmoja nyumbani kwake amesimika bendera ya ccm , na hutumia bendera za ccm kufunika madumu ili kufikisha gongo kariakoo bila bughudhaKwamba kuna wanachama wengi was CCM ambao ni CCM TIKITIMAJI?!?
Acha nijichekee zangu kizungu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na hoja zinazotolewa na baadhi ya watu kwamba iwepo tumehuru ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2020. Na kwamba tume hiyo iwe shirikishi ili kuondoa malalamiko.
Binafsi sidharau maoni ya watu wenye mawazo ya namna hiyo kwa sababu wanatimiza wajibu wao wa kutoa maoni kama mimi ninavyofanya.
Moja ya hoja ya malalamiko ni kwamba iliyopo inachaguliwa na mwenyekiti wa chama kinachoingia kwenye ushindani.
Nyingine ni kwamba hata wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa chama.nk
Hoja zote hizo ni za msingi kabisa.
Rai yangu kwa CCM ni kwamba msikubali tume ya namna hiyo kwa sababu siku mkijaribu kufanya hivyo mtaangukia pua kwa sababu zifuatazo:
1. Sio kweli kwamba wanaohamia huko wanaipenda ccm,wengi wanaohama vyama ni kwa sababu ya ugumu wa kufanya siasa wakiwa upande wa pili.
2. Wengi wanaokuja huko wanaunga mkono juhudi za mh Rais, sio kwa sababu wanakipenda chama. Rejea walichozungumza baada ya kurejea,hawasemi Sera zimewavuta.
3.Wanachama mnaodai ni mil 15 mlionao si kweli,na hata kama wapo kuna wale ambao wanaweza kukishangilia chama mchana lakini usiku wa upinzani. Hivyo ni vigumu kuamini kwamba kundi lote hilo ni CCM.
Pamoja na hayo na mengine nasisitiza mzuie mikutano ya upinzani,mkiruhusu hakika mwisho wenu utakuwa mbaya.
Kumbukeni kwamba upinzani upo tena una nguvu saaan. Msikubali tume huru
Kumekuwa na hoja zinazotolewa na baadhi ya watu kwamba iwepo tumehuru ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2020. Na kwamba tume hiyo iwe shirikishi ili kuondoa malalamiko.
Binafsi sidharau maoni ya watu wenye mawazo ya namna hiyo kwa sababu wanatimiza wajibu wao wa kutoa maoni kama mimi ninavyofanya.
Moja ya hoja ya malalamiko ni kwamba iliyopo inachaguliwa na mwenyekiti wa chama kinachoingia kwenye ushindani.
Nyingine ni kwamba hata wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa chama.nk
Hoja zote hizo ni za msingi kabisa.
Rai yangu kwa CCM ni kwamba msikubali tume ya namna hiyo kwa sababu siku mkijaribu kufanya hivyo mtaangukia pua kwa sababu zifuatazo:
1. Sio kweli kwamba wanaohamia huko wanaipenda ccm,wengi wanaohama vyama ni kwa sababu ya ugumu wa kufanya siasa wakiwa upande wa pili.
2. Wengi wanaokuja huko wanaunga mkono juhudi za mh Rais, sio kwa sababu wanakipenda chama. Rejea walichozungumza baada ya kurejea,hawasemi Sera zimewavuta.
3.Wanachama mnaodai ni mil 15 mlionao si kweli,na hata kama wapo kuna wale ambao wanaweza kukishangilia chama mchana lakini usiku wa upinzani. Hivyo ni vigumu kuamini kwamba kundi lote hilo ni CCM.
Pamoja na hayo na mengine nasisitiza mzuie mikutano ya upinzani,mkiruhusu hakika mwisho wenu utakuwa mbaya.
Kumbukeni kwamba upinzani upo tena una nguvu saaan. Msikubali tume huru