Ujinga huu, huyu Tulia kibaraka wa Samia hawezi kufanya chochote kinyume na matakwa ya bosi wake.
Hili jambo ndio maana sitaki lipelekwe TAKUKURU, bungeni wala pengine popote, sisi watanzania wenyewe wenye uchungu na mali zetu ndio tuamue.
Hawa wanajiona wana mamlaka wanatudharau makusudi, sasa tuamue wenyewe, iwe kwa maandamano, migomo, au kwa sala popote tulipo kwa imani zetu kila mmoja, kuwaangamiza hawa wanyonyaji wanaotutawala.
Mungu wangu yupo hai, naamini atatenda, hatachelewa kuingilia kati hili jambo.