Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Familia ya Lissu ipo kwenye wakati mgumu sana. Hawa mazuzu wamekwenda Nairobi kwa mambo yao binafsi, hawajakwenda kumtibu mgonjwa.
Andikeni summary wote tupate kufahamu aliyoongeaMkuu embu weka kwa kiswahili wengine tuelewe
Una kichaa cha nyoka.Una hakika na madai yako?Akareport kwa watuhumiwà/killers?
Kwani Lisu alivyoriport walichukua hatua gani?Hivi kwanini huwa hawaendi kuripoti sehem husika ka kweli madai yao ni ya msingi zaid wanalilia kwenye mitandao?
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
Duuh mkuu hii comment imehamishiwa huku baada ya thread kuunganishwaAndikeni summary wote tupate kufahamu aliyoongea
Halafu hapo atakuambia ndio tayari ameripoti tuhuma zake polisi. Huyu jamaa bure kabisa.Msigwa kayasema hayo akiwa Nairobi na kuishutumu serikali kuwa ndio chanzo cha mauwaji hasa ya wanasiasa wa upinzani.
Asema spika kaungana na serikali kifanya maamuzi inayotaka serikali na kuahindwa kusimama kama bunge la kusimamia serikali.
Aliripoti wapi?Kwani Lisu alivyoriport walichukua hatua gani?
Msigwa kayasema hayo akiwa Nairobi na kuishutumu serikali kuwa ndio chanzo cha mauwaji hasa ya wanasiasa wa upinzani.
Asema spika kaungana na serikali kifanya maamuzi inayotaka serikali na kuahindwa kusimama kama bunge la kusimamia serikali.
Unadhani kama kesi , hii itakuwa kubwa kuliko ya Manji ??Kwakuwa IGP hapokea taarifa rasimi ya malalamiko ya maandishi kuhusu matamshi haya,hatutarajii kuona Msigwa akikamatwa au kuitwa kwa mahojiano.
Aliyezoea kula nyama za watu haachi , akishawamaliza akina Msigwa atakuja kwako .Halafu hapo atakuambia ndio tayari ameripoti tuhuma zake polisi. Huyu jamaa bure kabisa.
Hizi siasa za ovyo sana. Sasa Mdee auwawe ili iweje, for what?...
Sent using Jamii Forums mobile app