Hahaha… Msingi wa madai yetu nini? Publication of “bad taste images” kama anavyodai Msigwa?Msigwa analalamika
Tanzania ni nchi kile ni chombo Cha habari
Kama Trump pérsonali anaweza washitaki, sisi kama nchi kupitia wanasheria wetu tunafeli wapi kuwashiraki ccn dhidi ya kesi ya uchochezi? Au uzalilishwaji?
Kwamba tuwashitaki kwa kufichua tunachokificha.Hahaha… Msingi wa madai yetu nini? Publication of “bad taste images” kama anavyodai Msigwa?
Oya emu lala km hujakojoa kojoa ulale acha kuongea ujinga wa Gerson Msigwa, as a matter of fact jamaa anaongea as if anaongea kwenye kikao cha family, wakati anaongea na dunia. Wapi alipoweka international journalist kwenye ile press yake akamgonga maswali? Kaitisha presenters machawa waje kumgonga reading questions then anaongea nini? Kwenye ile press ulimuona hata mwandishi mmoja wa kimataifa akifuatilia na kumgonga maswali ya ugoko? Km hayupo yeye alichofanya ana tofauti gani na CNN? Stupid, Mods mnisamehe najua mnakuja sana PM kunituliza ila inabidi nisemeMsigwa analalamika
Tanzania ni nchi kile ni chombo Cha habari
Kama Trump pérsonali anaweza washitaki, sisi kama nchi kupitia wanasheria wetu tunafeli wapi kuwashiraki CNN dhidi ya kesi ya uchochezi? Au uzalilishwaji?
Kwa kipi anachoweza kufanya yeye alimuita hata mwandishi mmoja wa nje kwenye ile press yake? Aliwashirikisha kwenye ile press yake? Anawatajataja kwenye press huku anawakaripia eti natural justice mo'faka natural justice na huku umeua and then you come up with stupid defence of natural justice? Kakomalia sheria sheria hana hata cheti cha sheria, next time tell him on his press asiongee kuhusu sheria maana hana anachojua kuhusu sheria so stop talking about laws, hajui sheriaHawana uwezo uo
Msigwa ni mpumbavu sanaKwa kipi anachoweza kufanya yeye alimuita hata mwandishi mmoja wa nje kwenye ile press yake? Aliwashirikisha kwenye ile press yake? Anawatajataja kwenye press huku anawakaripia eti natural justice mo'faka natural justice na huku umeua and then you come up with stupid defence of natural justice? Kakomalia sheria sheria hana hata cheti cha sheria, next time tell him on his press asiongee kuhusu sheria maana hana anachojua kuhusu sheria so stop talking about laws, hajui sheria
Next time akiongea mkumbusheni asiongee ongee kuhusu sheria, yeye apige tu domo ila sheria hajui kwa hio asiguse kabisa mambo ya kisheria.. kaongea kidogo analeta utani wa kingese eti kwa kikinga mo'faka kingereza toka lini kikawa kikinga was that a serious press or was that a comedy show?Kama mawakili wa serikali hawajui tofauti ya video na picha wataweza kusimamia kesi kwenye mahakama za kimataifa?
Nao inabidi wawe wateja wa wanasheria wanaojitambua!Kama mawakili wa serikali hawajui tofauti ya video na picha wataweza kusimamia kesi kwenye mahakama za kimataifa?
Mimi naona serikali kwasasa inaachia series za bongo movie tatizo bongo movie ilikufa zamani sanaNext time akiongea mkumbusheni asiongee ongee kuhusu sheria, yeye apige tu domo ila sheria hajui kwa hio asiguse kabisa mambo ya kisheria.. kaongea kidogo analeta utani wa kingese eti kwa kikinga mo'faka kingereza toka lini kikawa kikinga was that a serious press or was that a comedy show?
Jamaa next time mwambieni akiandaa press awe amejiandaa hata km unapigwa reading questions huwezi ukawa unakwepa kujibu maswali.. anaulizwa kwa wale wahanga wa zile vurugu waliopoteza ndugu zao na waliopoteza mali zao unawasaidiaje kwa kipindi hiki serikali ina nini cha kuwasaidia... eti anajibu ...hilo swali siwezi kulitolewa majibu tusubiri tume ya uchunguzi imalize kwanza kazi yake itakuja na majibu... wewe mjinga sasa km huwezi kujibu maswali km hayo hata tu kwa tathmini ya nini kitafanyika uliitisha press ya nini mjinga wewe? Uliitisha press ya nini na huku kuna maswali unajua ukiulizwa unashindwa kuyajibu?Mimi naona serikali kwasasa inaachia series za bongo movie tatizo bongo movie ilikufa zamani sana
Ila unakera sana brother. Kwanini unakuwa upande wa watesi????? Ulaaniwe wewe kijanaWakishtakiwa utakuja tena kuuliza kwanini mmewashtaki.