Msigwa alisomea wapi uchungaji?


Subiri 2015 mkapimane Jimboni au utaenda kwa dhaifu Mgimwa Kalenga?
 
Nyela Lukosi, kila wakati unaanzisha thread za ajabu ajabu ila majibu unayoyapata yamefanya siku yangu iwe nzuri haaa haaa haaaa!!!!!
 
Jiulize Yesu na Mohamed walisomea wapi ulimu.
 
Nadhani wewe unahaki 100% kwenda Milembe kupimwa, What you have posted mean zero to your time spent!.
 

hatutaki uchungaji wa msigwa,,sisi tunataka kazi zake za kibunge ambazo zinawatia joto ccm,,,kuhusu uchungaji kawaaulize waumini wake,,,na kubwa zaidi pia muulize yesu alisomea wapi huo uchungaji? Acha hoja za kipuuzi,,,sasa tunajadili operesheni tokomeza.
 

Mimi nadhani ungelikuja kumuuliza yeye au mama Spika au Ndagai wanamtambua maana ndio viongozi wako wa chama,by the way unachofanya umesomea wapi? na umetoa pole msiba wa Mwanza. Marry x-mas
 
Niliishaweka wazi hapa kuwa nitakwenda kumuondoa Msigwa 2015 sasa sijui unauliza nini

Mkuu wa ramba rambi si usubiri hiyo 2015? hata mama Kabati nae anajipanga anajipitisha pitisha Iringa wewe umeanza?
 

kwa hy uliuliza swali ambalo una majibu yake? unataka kujua mch msigwa amesoma wapi umeelekezwa sasa kubali jibu kwanza ndio uje na hoja nyingine,
 

Mi namfahamu kama mbunge makini anayetaka Pinda na waliopinda wajiuzuru. Kiroho Shekhe ananitosha yahe..
 
Jiulize Yesu na Mohamed walisomea wapi ulimu.
Astaghafiruallah! unawafananisha hawa Watukufu na huyu muhuni ama kweli "kukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni" kafanye toba haraka kabla ya jua halijazama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…